ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, July 2, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

KMC KUWAKABILI MBEYA CITY UWANJA WA UHURU KESHO, BILA KIBABAGE, ILAMFYA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 18, 2022
in HABARI
0
KMC KUWAKABILI MBEYA CITY UWANJA WA UHURU KESHO, BILA KIBABAGE, ILAMFYA
0
SHARES
83
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

Jul 2, 2022

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

Jul 2, 2022

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

Jul 2, 2022
Load More

Kikosi cha KMC FC kesho kitashuka katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC soka Tanzania bara dhidi ya Mbeya City utakaopigwa saa 16:00 jioni.

–

Timu hiyo ya Manispaa ya Kinondoni chini ya kocha Mkuu Thierry Hitimana itakuwa nyumbani ikimkaribisha Mbeya City na kwamba maandalizi ya mchezo huo yamekamilika kwa asilimia kubwa na hivyo Timu ipotayari kwa mtange huo.

–

Licha ya mchezo huo kuwa na ushindani mkubwa , lakini KMC imejipanga vizuri kutumia uwanja wanyumbani ilikupata matokeo mazuri na hivyo kuendelea kujiimarisha zaidi kwenye msimamo wa Ligi kuu ya NBC ambapo kwa sasa ipo katika nafasi ya nane.

Aidha katika mchezo huo wa kesho KMC itakosa huduma ya wachezaji wawili ambao ni Nickson Kibabage kutokana na mambo ya kifamilia pamoja na Charles Ilamfya mwenye kadi tatu za njano.

–

Kwaupande wa Afya za wachezaji ziko vizuri ,wanahari na morali nzuri na kwamba wachezaji pamoja na benchi la ufundi wamejiandaa kuwapa burudani mashabiki na Watanzania wote ambao siku zote wamekuwa wakiisapoti katika hali yoyote pindi inapokuwa uwanjani.

ADVERTISEMENT

–

“Tunakwenda kwenye mechi ngumu pamoja na kwamba tutakuwa nyumbani ,tunaiheshimu Mbye City kwakuwa ni wazuri, wanawachezaji wazuri, lakini KMC tukobora zaidi kuhakikisha alama tatu muhimu zinabaki kwenye Manispaa yetu ya Kinondoni.

–

Hata hivyo katika mchezo uliopita duru ya kwanza uliopigwa kwenye uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya, timu zote mbili zilitoka zare ya mabao mawili kwa mawili ambapo magoli ya KMC yalifungwa na Matheo Anton pamoja na Mohamed Samata.

Imetolewa leo Mei 18

ADVERTISEMENT

Na Christina Mwagala

Afisa Habari na Mawasiliano KMC FC.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI
HABARI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
NEYMAR KUONDOKA PSG
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022
AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME
HABARI

AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI
HABARI

MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022
HABARI

SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In