ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MAAMBUKIZI MAPYA YA COVID MAREKANI YANAIBUA KUNDI JIPYA HATARISHI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 4, 2022
in HABARI
0
MAAMBUKIZI MAPYA YA COVID MAREKANI YANAIBUA KUNDI JIPYA HATARISHI
0
SHARES
39
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

May 22, 2022

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

May 22, 2022

MANULA AKATWA NA KIOO

May 22, 2022
Load More

Kuongezeka kwa maambukizi ya COVID-19 kote Marekani kumepelekea miji mingi kuingia kwenye kundi jipya hatarishi ambalo linapelekea kuchochea uvaaji wa barakoa ndani ya majengo lakini sehemu kubwa ya nchi imeacha kurudisha masharti ya kukabiliana na COVID huku kukiwa na ongezeko kwa kiasi Fulani.

ADVERTISEMENT

Kwa wiki kadhaa sehemu kubwa ya jimbo la New York imekuwa katika kiwango cha juu cha onyo chenye rangi ya machungwa, kituo cha kuzuia na kudhibiti magonjwa (CDC) ambapo kinaelezea kasi ya kuenea kwa maambukizi.

CDC inawasihi watu kuvaa barakoa katika maeneo ya ndani ya umma, ikiwemo shule bila kujali hali yako kama umechoma chanjo au la. Lakini wachache ikiwemo mamlaka za eneo kwenye mkoa huo zilirudisha umuhimu wa kuvaa barakoa kufuatia kuongezeka kwa kesi.

Katika jiji la New York kesi zinaongezeka tena na wiki hii zilivuka kiwango cha jiji cha “hatari ya wastani” ikionyesha kuenea kwa kasi kwa aina ya kirusi kijulikanacho BA-2 ambacho kimeenea maeneo ya kaskazini mwa jimbo hilo.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA
HABARI

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
HABARI

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
MANULA AKATWA NA KIOO
HABARI

MANULA AKATWA NA KIOO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
NAMUNGO WAPEWA ALAMA TATU, KOCHA MAKATA AFUNGIWA MIAKA MITANO
HABARI

MAKATA, NAFTARI WAOMBA RADHI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA
HABARI

VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO
HABARI

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In