ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, February 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MAFANIKIO MAKUBWA BANDARI YA MTWARA…!

I am Krantz by I am Krantz
May 30, 2022
in BIASHARA, HABARI
0
MAFANIKIO MAKUBWA BANDARI YA MTWARA…!
0
SHARES
178
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Meli ya MV. EGT Southern Cross ikiendelea kupakia shehena ya Makaa ya Mawe yanayotarajiwa kusafirisha kwenda Amsterdam Uholanzi. Meli hiyo inatarajiwa kupakia Tani 59960 za makaa hayo kwenda Barani Ulaya.

 

Baadhi ya magari yakipakia shehena ya makaa ya mawe kwenda katika Meli ya MV. EGT Southern Cross yatakayosafirishwa kwenda Amsterdam Uholanzi, hii ikiwa ni shehena kubwa zaidi ya Makaa ya Mawe kusafirishwa Kupitia Bandari ya Mtwara.

 

RelatedPosts

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Feb 7, 2023

HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

Feb 7, 2023

DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”

Feb 7, 2023
Load More
 
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti (mwenye kofia) akiwa na viongozi waandamizi wa TPA katika eneo la kupakia Shehena ya Makaa ya Mawe ya Bandari ya Mtwara kushuhudia zoezi la kupakia tani 69960 za Makaa hayo kwenda Barani Ulaya.

 

 

ADVERTISEMENT

 

Meli ya MV. EGT Southern Cross ikiendelea kupakia shehena ya Makaa ya Mawe yanayotarajiwa kusafirisha kwenda Amsterdam Uholanzi. 

 

 

ADVERTISEMENT
Baadhi ya magari yakipakia shehena ya makaa ya mawe kwenda katika Meli ya MV. EGT Southern Cross yatakayosafirishwa kwenda Amsterdam Uholanzi, hii ikiwa ni shehena kubwa zaidi ya Makaa ya Mawe kusafirishwa Kupitia Bandari ya Mtwara.

 

MELI ya MV. EGT Southern Cross inatarajia kusafirisha Tani 59960 za Makaa ya Mawe kwenda Amsterdam Uholanzi, hii ikiwa ni shehena kubwa zaidi ya Makaa ya Mawe kusafirishwa Kupitia Bandari ya Mtwara.
Akizungumza leo mjini hapa, kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Kaimu Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano, Bw. Nicodemus Mushi amesema, usafirishaji wa Shehena hii kubwa kwenda Bara Ulaya ni hatua muhimu ya kulifikia Soko kubwa la Bara la Ulaya baada ya bidhaa hiyo kuwa na Soko la uhakika katika Bara Asia.
Akifafanua zaidi alisema shehena kubwa ya mwisho ilikuwa tani 59815. “Hii ndio Mara ya kwanza kwa shehena kutoka Bandari ya Mtwara kwenda Bara la Ulaya moja kwa moja,” alisema Kaimu Mkurugenzi huyo wa Masoko na Uhusiano, Bw. Mushi.
Naye Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti akizungumza alisema, Serikali ya Mkoa wa Mtwara inaridhishwa na utendaji wa TPA na Bandari ya Mtwara hasa katika kutafuta wateja.
Alisema uwekezaji wa Serikali mkoani Mtwara ni mkubwa, ikiwemo Ujenzi wa gati ambao umegharimu Shilingi Bilioni 157.8. 
Aidha aliongeza kuwa Serikali imeiwezesha TPA kununua vitendea kazi na kuboresha mazingira ya kufanya kazi hivyo kuna kila sababu ya kuunga mkono jitihada hizi za TPA.
“…Ili kupata Wateja zaidi na sasa Mwelekeo Uwe katika Nchi Jirani ya Comoro ambayo ina fursa kubwa ya kufanya Biashara na Tanzania. Kwa kushirikiana na Kampuni ya Ruvuma Coal tunaendelea kutafuta Masoko zaidi ili kuufanya uwekezaji wa Serikali katika Bandari ya Mtwara kuwa na tija,” alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
HABARI

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA
HABARI

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

by ALFRED MTEWELE
Feb 7, 2023
YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25
HABARI

HAMTAMUONA KOCHA NABI AIRPORT – ALLY KAMWE

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25
HABARI

YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
QUEIROZ KOCHA MPYA QATAR
HABARI

QUEIROZ KOCHA MPYA QATAR

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
ATSU APATIKANA AKIWA HAI KUTOKA KWENYE VIFUSI
HABARI

ATSU APATIKANA AKIWA HAI KUTOKA KWENYE VIFUSI

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In