Meli ya MV. EGT Southern Cross ikiendelea kupakia shehena ya Makaa ya Mawe yanayotarajiwa kusafirisha kwenda Amsterdam Uholanzi. Meli hiyo inatarajiwa kupakia Tani 59960 za makaa hayo kwenda Barani Ulaya. |
![]() |
Baadhi ya magari yakipakia shehena ya makaa ya mawe kwenda katika Meli ya MV. EGT Southern Cross yatakayosafirishwa kwenda Amsterdam Uholanzi, hii ikiwa ni shehena kubwa zaidi ya Makaa ya Mawe kusafirishwa Kupitia Bandari ya Mtwara. |
![]() |
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti (mwenye kofia) akiwa na viongozi waandamizi wa TPA katika eneo la kupakia Shehena ya Makaa ya Mawe ya Bandari ya Mtwara kushuhudia zoezi la kupakia tani 69960 za Makaa hayo kwenda Barani Ulaya. |
ADVERTISEMENT
Meli ya MV. EGT Southern Cross ikiendelea kupakia shehena ya Makaa ya Mawe yanayotarajiwa kusafirisha kwenda Amsterdam Uholanzi. |
ADVERTISEMENT
Baadhi ya magari yakipakia shehena ya makaa ya mawe kwenda katika Meli ya MV. EGT Southern Cross yatakayosafirishwa kwenda Amsterdam Uholanzi, hii ikiwa ni shehena kubwa zaidi ya Makaa ya Mawe kusafirishwa Kupitia Bandari ya Mtwara. |