ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MAN CITY YAZINDUA SANAMU YA AGUERO

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 13, 2022
in HABARI
0
MAN CITY YAZINDUA SANAMU YA AGUERO
0
SHARES
34
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

May 21, 2022

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

May 21, 2022

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

May 21, 2022
Load More
Manchester City imezindua sanamu la nguli wa soka wa klabu hiyo Sergio Kun Aguero katika kumbukumbu kuadhimisha miaka 10 ya goli la Muargentina huyo lililopatia Man City ubingwa wa Ligi kuu England mnamo 2012.
–
Mnamo Mei 13, 2012 Man City ilitwaa kombe la Ligi kuu England kwa namna ya kipekee baada ushindi wa dakika za lala salama wa 3-2 dhidi ya Queens Park Rangers na kuipiku Man United wakiwa na alama sawa City ikiongoza kwa utofauti wa magoli.
–
Katika mechi za duru ya kufunga pazia la msimu wa 2011/12 wa #EPL Man City ilikuwa na kibarua dhidi ya QPR huku Man United ikizichapa dhidi ya Sunderland zote zikiwa na alama 86.
–
Man United ilipata uongozi mapema mnamo dakika ya 20 kupitia kwa naam! umeotea Phil Jones goli ambalo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo.
–
Man City ilipata uongozi kupitia kwa Pablo Zabaleta 39′ (assist Yaya Toure) na kwenda mapumzikoni vifua mbele 1-0 kabla ya QPR kucharuka kipindi cha pili na kupata uongozi kupitia magoli ya Djibril Cisse 48′ na Jamie Mackie 66′ licha ya Joey Barton 55′ kula umeme.
–
Mpaka dakika ya 90′ QPR iliyokuwa pungufu ya mchezaji mmoja ilikuwa inaongoza 2-1 dhidi ya Man City huku mashabiki wa Mashetani Wekundu wakiomba Dua matokeo yabaki hivyo ili wachukue kombe lao 20 la Ligi kuu England.
–
Mnamo dakika ya 90+2′ Edin Dzeko (assist David Silva) aliisawazishia Man City 2-2 kabla ya Sergio Kun Aguero (assist ya Balotelli) kufunga goli ambalo lilileta simanzi huko Old Trafford na kwa mashabiki wa Manchester United ulimwenguni kote.
–
Roberto Mancini na vijana wake walitwaa kombe hilo kwa mara ya kwanza kihistoria kwa matokeo ya 3-2 dhidi ya QPR baada ya kufikisha alama 89 sawa na Manchester United ikiwa na utajiri wa utofauti wa magoli.
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA
HABARI

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
HABARI

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI
HABARI

JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA
HABARI

ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA
HABARI

BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In