ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, March 22, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

NMB WAINGIA MTAANI KUSAMBAZA KAMPENI YA TELEZA KIDIGITALI

I am Krantz by I am Krantz
May 10, 2022
in HABARI
0
NMB WAINGIA MTAANI KUSAMBAZA KAMPENI YA TELEZA KIDIGITALI
0
SHARES
162
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Bw. Filbert Mpozi akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara ndogo ndogo mitaani kupata maoni yao kwenye uzinduzi wa kampeni ya NMB Teleza Kidijitali iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Bw. Filbert Mpozi akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara ndogo ndogo kupata maoni yao mara baada ya uzinduzi wa kampeni ya NMB Teleza Kidijitali iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna pamoja na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Bw. Filbert Mpozi wakipeperusha bendera kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya Teleza Kidijitali iliyofanyika leo Tawi la NMB Tandika jijini Dar es Salaam.

 

BENKI ya NMB imezinduwa rasmi Kampeni ya Teleza Kidijitali, ambayo imelenga kuwaelimisha Watanzania umuhimu wa kutumia na kunufaika na huduma zilizo chini ya kampeni hiyo za NMB Pesa Wakala, Lipa Mkononi na Mshiko Fasta.
Kampeni hiyo imezinduliwa jijini Dar es Salaam katika Tawi la Benki ya NMB Tandika, ambapo Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna, akiwa na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara, Bw. Filbert Mponzi na Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo waliwatembelea wafanyabiashara madukani mara baada ya tukio hilo kuwapa elimu zaidi.
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Bw. Filbert Mpozi akizungumza na baadhi ya waendesha bodaboda mitaani mara baada ya uzinduzi wa kampeni ya NMB Teleza Kidijitali iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
 
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakitoa huduma mitaani kwa wateja mara baada ya uzinduzi wa huduma hiyo.
 Akizungumza na wanahabari mara baada ya uzinduzi, Bi. Zaipuna alisema NMB imelenga kutoa elimu ya kutosha na kuwaingiza Watanzania wengi zaidi kwenye sekta rasmi ya kifedha ili waweze kunufaika na huduma mbalimbali zinazotolewa.
 “Tuko hapa kunadi huduma zote muhimu zilizopo kwenye mwamvuli wa Teleza Kidijitali, ikiwa ni ufunguaji wa akaunti za NMB, Mshiko Fasta ambapo mteja anaweza kupata mikopo nafuu isiyo na dhamana kupitia simu yake tu.”
 “Pia tumeutumia uzinduzi wa kampeni hii kwa ujumla kunadi huduma ya Lipa Mkononi, ambayo itamuwezesha mfanyabiashara kulipwa na wateja wake kwa kutumia lipa namba au kwa kuskani QR, huku ikitupa sisi kumbukumbu na historia ya mfanyabiashara huyo, kutusaidia hata katika utoaji wa mikopo.
 “Pia tumekuja na NMB Pesa Wakala, huduma inayomuwezesha mtu yeyote kuwa wakala kwa kupitia simu yako ya mkononi (smart phone au tochi) kutoa huduma za kuweka, kutoa au kutuma pesa kirahisi,” alisema Zaipuna, ambaye alishiriki kutembelea wafanyabiashara wa eneo la Tandika madukani mwao kutoa elimu na kusikiliza maoni yao.
Kwa upande wake, Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard, aliwataka wakazi wa kanda yake kuchangamkia fursa zilizomo ndani ya kampeni hiyo, ili kurahisisha upatikanaji wa huduma bila kusumbuka kwenda matawini.

 

RelatedPosts

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

Mar 21, 2023

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

Mar 21, 2023

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

Mar 21, 2023
Load More
Afisa Mtendaji Mkuu Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akisalimiana na baadhi ya viongozi na wafanyakazi wa Benki ya NMB mara baada ya kuwasili Tawi la NMB Tandika kwenye uzinduzi rasmi wa kampeni ya Teleza Kidijitali jijini Dar es Salaam.

 

Afisa Mtendaji Mkuu Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB mara baada ya kuwasili Tawi la NMB Tandika kwenye uzinduzi rasmi wa kampeni ya Teleza Kidijitali jijini Dar es Salaam.

 

ADVERTISEMENT
Huduma ikitolewa mitaani mara baada ya uzinduzi wa kampeni hizo.

 

Afisa Mtendaji Mkuu Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna (kulia) akisalimiana na Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard (kushoto) mara baada ya kuwasili Tawi la NMB Tandika kwenye uzinduzi rasmi wa kampeni ya Teleza Kidijitali jijini Dar es Salaam. Katikati ni fisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Bw. Filbert Mpozi.

 

 

Wafanyakazi wa NMB wakijipanga kuwatembelea wateja na wananchi mtaani mara baada ya uzinduzi rasmi wa kampeni ya Teleza Kidijitali jijini Dar es Salaam.
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI
HABARI

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA
HABARI

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI
HABARI

WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
BIKIRA JANE APATA MTOTO
HABARI

BIKIRA JANE APATA MTOTO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA
HABARI

ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA

by ALFRED MTEWELE
Mar 21, 2023
SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO
HABARI

SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In