ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

RAIS SAMIA ATAJWA ANA USHAWISHI MKUBWA ZAIDI DUNIANI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 24, 2022
in HABARI
0
CCM YAMPONGEZA RAIS SAMIA
0
SHARES
192
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

BENZEMA AJIUNGA NA AL-ITTIHAD

BENZEMA AJIUNGA NA AL-ITTIHAD

Jun 7, 2023

KURASA ZA MAGAZETI LEO JUMATANO TAREHE 7 JUNI 2023

Jun 7, 2023

BODI YA CHAI NA TMX ZAINGIA MAKUBALIANO YA MNADA WA CHAI

Jun 6, 2023
Load More

Rais Samia Suluhu Hassan ametajwa na jarida la Time la nchini Marekani miongoni mwa watu 100 wenye ushawishi zaidi kwa mwaka 2022.

–

Katika orodha hiyo iliyojumuisha kuanzia wasanii, wafanyabiashara, wabunifu hadi wanasiasa, Rais Samia ameelezewa na Rais Mstaafu wa Liberia na mshindi wa tuzo ya Nobel, Ellen Sirleaf, kuwa kiongozi aliyechochea mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika mwaka mmoja alioiongoza Tanzania.

ADVERTISEMENT

–

Sirleaf ameeleza kuwa chini ya uongozi wa Rais Samia, mlango wa majadiliano umefunguliwa kwa wapinzani wa kisiasa, hatua zimechukuliwa kurejesha imani katika mfumo wa kidemokrasia, jitihada zimefanyika kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari na waliokatisha masomo wamerejeshwa na wanawake wana mtu wa kumtazama.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

KIKOSI KAZI MTEGONI/MEMBE AFUNGUKA/ACT YATEMA CHECHE/PABLO APATA KIGUGUMIZI……….MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 30 MEI 2022
HABARI

KURASA ZA MAGAZETI LEO JUMATANO TAREHE 7 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 7, 2023
BODI YA CHAI NA TMX ZAINGIA MAKUBALIANO YA MNADA WA CHAI
HABARI

BODI YA CHAI NA TMX ZAINGIA MAKUBALIANO YA MNADA WA CHAI

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SIKOSELI NCHINI – DKT. SHEKALAGHE
HABARI

TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SIKOSELI NCHINI – DKT. SHEKALAGHE

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
EPUKA TABIA HIZI HATARISHI UNAPOENDESHA GARI YAKO
HABARI

EPUKA TABIA HIZI HATARISHI UNAPOENDESHA GARI YAKO

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
AHMED ALLY-“TULICHEZA FAINALI CAF 1993, ITABAKI KUWA HIVYO”
HABARI

AHMED ALLY-“TULICHEZA FAINALI CAF 1993, ITABAKI KUWA HIVYO”

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
KUHUSU MPANGO WA SERIKALI KUJENGA DARAJA REFU ZAIDI AFRIKA ZANZIBAR- DAR
HABARI

KUHUSU MPANGO WA SERIKALI KUJENGA DARAJA REFU ZAIDI AFRIKA ZANZIBAR- DAR

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In