ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

RUBANI MDOGO ZAIDI ATUA SALAMA KENYA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 20, 2022
in HABARI
0
RUBANI MDOGO ZAIDI ATUA SALAMA KENYA
0
SHARES
230
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE

Mar 28, 2023

MBUNGE ATOA MAJIKO YA GESI 700 KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI

Mar 28, 2023

TAIFA STARS YAAHIDI KUENDELEZA ILIPOISHIA

Mar 28, 2023
Load More

Mwanafunzi wa kiume mwenye umri wa miaka 16 ambaye yuko kwenye mpango wa kutaka kuwa mtu mdogo kuliko wote kuendesha Ndege akiwa peke yake akizunguka dunia ametua salama Jijini Nairobi nchini Kenya. Marc Rutherford ambaye ni raia wa Uingereza na Ubelgiji aliianza safari yake nchini Bulgaria mwezi Machi.

–

“ilikuwa ngumu kidogo kuona mbele nilipokuwa napita kwenye jangwa la Sahara, lakini uzuri wa muonekano wa eneo lile kutokea juu ulifanya kila kitu kuwa rahisi.Kwa safari hii ninategemea kuwahamasisha vijana kufuata ndoto zao” alisema Marc baada ya kushuka kutoka kwenye ndege yake ndogo katika uwanja wa ndege wa Wilson jijini Nairobi.

ADVERTISEMENT

–

Kampuni iliyotengeneza ndege hiyo Shark Aero ilikataa kushirikiana na Marc katika mpango wake. “Marc ni rubani mzuri sana hilo halina wasiwasi lakini safari hiyo ina hatari ambazo zinaweza kushindwa kukwepeka na kijana huyu bado ni mdogo.” Alisema msemaji wa kampuni hiyo.

ADVERTISEMENT

–

Safari ya Marc itampeleka kwenye nchi nyingine 4 barani Afrika kabla hajaelekea Mashariki ya Kati, Asia, Amerika ya Kaskazini na baadae kurudi Ulaya. Marc ametokea kwenye familia ya marubani, baba yake pamoja na dada yake wote ni marubani.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE
HABARI

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
MBUNGE ATOA MAJIKO YA GESI 700 KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI
HABARI

MBUNGE ATOA MAJIKO YA GESI 700 KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
RAIS SAMIA ATUNUKIWA TUZO NA WANAHABARI, JNICC
HABARI

RAIS SAMIA ATUNUKIWA TUZO NA WANAHABARI, JNICC

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
MFAHAMU MVUVI ALIYEPOTELEA BAHARINI SIKU 438, NA KUKUTWA BADO YUPO HAI
HABARI

MFAHAMU MVUVI ALIYEPOTELEA BAHARINI SIKU 438, NA KUKUTWA BADO YUPO HAI

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
MAKAMU WA RAIS MAREKANI ZIARANI KESHO NCHINI
HABARI

MAKAMU WA RAIS MAREKANI ZIARANI KESHO NCHINI

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
WASANII BONGO WALIOTAJWA PLAYLISTS YA KAMALA
HABARI

WASANII BONGO WALIOTAJWA PLAYLISTS YA KAMALA

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In