ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, February 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

SERIKALI YATANGAZA MSAMAHA WA RIBA KWA WAAJIRI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 6, 2022
in HABARI
0
SERIKALI YATANGAZA MSAMAHA WA RIBA KWA WAAJIRI
0
SHARES
133
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza msamaha wa riba iliyotozwa kwa kipindi cha Oktoba 1, 2017 hadi Agosti 31, 2021 kwa waajiri wote waliochelewesha kuwasilisha michango katika Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF).
–
Akizungumza wakati wa kutoa msamaha huo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Prof. Joyce Ndalichako amesema kuwa waajiri watakaonufaika na msamaha huo ni pamoja na wale wote waliolipa malimbikizo ya michango wanayodaiwa na WCF na wamebakiza deni la riba pekee.
–
Amesema, waajiri wote watakaolipa malimbikizo ya michango ya miezi ya nyuma wanayodaiwa na Mfuko huo kabla ya Juni 30, 2022 nao pia watakuwa wanufaika wa msamaha huo ambapo hadi kufikia Agosti 2021, takribani waajiri 13,468 wa sekta binafsi na waajiri 191 wa sekta ya umma walikuwa kwenye orodha ya madeni ya riba.
–
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi Dkt. John Mduma ameishukuru Serikali kukubali kutoa punguzo hilo kwani linarahisisha usimamizi na utekelezaji wa majukumu ya mfuko huo.
–
Dkt. Mduma amesema anayepaswa kujisajili na kuchangia kwenye WCF ni mwajiri pekee, na viwango vinavyopaswa kuchangiwa ni asilimia 0.6 ya mshahara wa mwezi kwa kila mfanyakazi wa sekta binafsi na asilimia 0.5 kwa mfanyakazi wa sekta ya umma.

RelatedPosts

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Feb 7, 2023

HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

Feb 7, 2023

DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”

Feb 7, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
HABARI

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA
HABARI

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

by ALFRED MTEWELE
Feb 7, 2023
YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25
HABARI

HAMTAMUONA KOCHA NABI AIRPORT – ALLY KAMWE

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25
HABARI

YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
QUEIROZ KOCHA MPYA QATAR
HABARI

QUEIROZ KOCHA MPYA QATAR

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
ATSU APATIKANA AKIWA HAI KUTOKA KWENYE VIFUSI
HABARI

ATSU APATIKANA AKIWA HAI KUTOKA KWENYE VIFUSI

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In