ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE MEI 31, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 31, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE MEI 31, 2022
0
SHARES
283
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

Auto Draft

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

Jun 26, 2022

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

Jun 26, 2022

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

Jun 26, 2022
Load More

Mshambuliaji wa Ubelgiji, Romelu Lukaku, 29, anapanga wa kufanya mazungumzo na Chelsea kuhusu mustakabali wake baada ya mwekezaji Mmarekani Todd Boehly kukamilisha ununuzi wa klabu hiyo wa thamani ya £4.25bn.

 

–

 

Mabingwa wa Ligi kuu ya England Manchester City wanamfuatilia beki wa Leicester City wa wa chini ya miaka 18, Ben Nelson, mwenye miaka 18.

 

–

 

ADVERTISEMENT

Real Madrid wameendelea kuweka juhudi zao za kumnunua kiungo wa kati wa Monaco Mfaransa Aurelien Tchouameni, 22, kwa dau la takriban £68m.

 

–

 

Winga wa zamani wa Chelsea na Arsenal Willian, 33, anatamani kuondoka nchini kwao Brazil, ambako kwa sasa anachezea Corinthians, na kurejea kucheza soka Ulaya.

 

ADVERTISEMENT

–

 

Nottingham Forest wana nia ya kumbakiza kwa mkopo beki wa Middlesbrough Djed Spence lakini Tottenham, Arsenal na Brentford pia wanamfuatilia Muingereza huyo mwenye umri wa miaka 21.

 

–

 

West Ham wako tayari kumuuza beki Mfaransa Issa Diop, 25, ambaye kwa sasa amekuwa chaguo la nne chini ya mkufunzi David Moyes.

 

–

 

Mshambuliaji wa Benfica, Darwin Nunez, 22, amekuwa akikutana na baadhi ya timu kubwa za ligi kuu England kuhusu uwezekano wa kuhama katika majira haya ya joto. Liverpool, Manchester United na Newcastle zote zinavutiwa na raia huyo wa Uruguay.

 

–

 

Manchester United wameanza mazungumzo ya kumsajili beki wa kimataifa wa Uholanzi, Jurrien Timber, 20, anayechezea Ajax ambaye thamani yake ni pauni milioni 43.

 

–

 

Mshambuliaji wa Senegal Sadio Mane, 30, hajaiambia mpaka sasa Liverpool kwamba anataka kuondoka katika klabu hiyo huku kukiwa na tetesi za kutaka kuhamia kwa mabingwa wa Bundesliga Bayern Munich kwa pauni milioni 35.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Auto Draft
HABARI

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

by I am Krantz
Jun 26, 2022
ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA  MCHUMBA WAKE
HABARI

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE
HABARI

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK
HABARI

HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE
HABARI

ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA
BIASHARA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

by I am Krantz
Jun 26, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In