Mbunge wa Momba (CCM) Condester Sichalwe, ameishauri Serikali, kutafuta namna bora ya kuboresha viwango vya pombe za kienyeji ili kuzipa viwango stahiki kutokana na viwango vya TBS.
–
ADVERTISEMENT
Condester ameyasema hayo Bungeni wakati wa kujadili hoja za Serikali za Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara.
–
Pia Condester ameishauri Serikali kuwa wafanyabiashara wa pombe za kienyeji wahitaji ujuzi ambao utawawezesha ubora kwa kuunda bodi ya kuwasimamia na kufanya utafiti wa kisasa.
Credit – TBC
ADVERTISEMENT