ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Tume ya uchaguzi Kenya yamzuia Kalonzo Musyoka kugombea urais

I am Krantz by I am Krantz
May 29, 2022
in HABARI
0
Tume ya uchaguzi Kenya yamzuia Kalonzo Musyoka kugombea urais
0
SHARES
215
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka hatashiriki kinyang’anyiro cha urais Agosti 9 baada ya tume ya uchaguzi kumfungia.Nation limeripoti

Wakati uo huo, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imewaidhinisha wagombea 16 ambao sasa watawasilisha nyaraka zao za uteuzi kuanzia leo.

RelatedPosts

UKRAINE YAKUMBWA NA MAFURIKO, BWAWA LAPASUKA

UKRAINE YAKUMBWA NA MAFURIKO, BWAWA LAPASUKA

Jun 7, 2023

TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER

Jun 7, 2023

BENZEMA AJIUNGA NA AL-ITTIHAD

Jun 7, 2023
Load More

Orodha hiyo ina wafuasi tisa wa vyama vya siasa/muungano na saba huru.

Wagombea wakuu Raila Odinga (Azimio la Umoja One Kenya Coalition party) na Naibu Rais William Ruto wa United Democratic Alliance ni miongoni mwa walioidhinishwa na IEBC.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Bw Musyoka hakuwasilisha orodha ya wafuasi wake katika karatasi inayohitajika.

Yeye ni miongoni mwa wagombea wanne wa vyama vya kisiasa na wagombea binafsi tisa ambao walishindwa kukidhi matakwa ya IEBC ya wafuasi 48,000 angalau kaunti 24, kuwasilisha ipasavyo majina ya wafuasi na nakala za vitambulisho vyao vya kitaifa.

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

UKRAINE YAKUMBWA NA MAFURIKO, BWAWA LAPASUKA
HABARI

UKRAINE YAKUMBWA NA MAFURIKO, BWAWA LAPASUKA

by ALFRED MTEWELE
Jun 7, 2023
TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER
HABARI

TRA YASISITIZA WENYE UMRI MIAKA 18+ LAZIMA WAWE NA TIN NUMBER

by ALFRED MTEWELE
Jun 7, 2023
KIKOSI KAZI MTEGONI/MEMBE AFUNGUKA/ACT YATEMA CHECHE/PABLO APATA KIGUGUMIZI……….MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 30 MEI 2022
HABARI

KURASA ZA MAGAZETI LEO JUMATANO TAREHE 7 JUNI 2023

by I am Krantz
Jun 7, 2023
BODI YA CHAI NA TMX ZAINGIA MAKUBALIANO YA MNADA WA CHAI
HABARI

BODI YA CHAI NA TMX ZAINGIA MAKUBALIANO YA MNADA WA CHAI

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SIKOSELI NCHINI – DKT. SHEKALAGHE
HABARI

TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA SIKOSELI NCHINI – DKT. SHEKALAGHE

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023
EPUKA TABIA HIZI HATARISHI UNAPOENDESHA GARI YAKO
HABARI

EPUKA TABIA HIZI HATARISHI UNAPOENDESHA GARI YAKO

by ALFRED MTEWELE
Jun 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In