ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, July 3, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE

Ally Hamis Zingizi by Ally Hamis Zingizi
May 16, 2022
in HABARI
0
WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE
0
SHARES
83
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO

π–π€π™πˆπ‘πˆ 𝐖𝐀 π€π…π˜π€ WA ZANZIBAR π€πˆππ€ πŠπŽππ†πŽπ‹π„ π€πŠπˆππ€ π‚πŽπŒπ„π‘π‚πˆπ€π‹ ππ€ππŠ

Jul 3, 2022

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO

Jul 3, 2022

BENKI YA CRDB NA WAKALA WA SERIKALI MTANDAO ZANZIBARA WAINGIA MAKUBALIANO

Jul 3, 2022
Load More

Na Mwandishi Wetu, Pwani
Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge ,ametoa Rai kwa waandishi wa habari, kutumia kalamu zao kuwaelimisha wananchi mazuri yanayofanywa na Serikali na kutangaza fursa na matarajio makubwa ya mipango ya Serikali.
Aidha amewataka waandishi wa habari kushirikiana na mkoa kutangaza fursa za kiuchumi na uwekezaji zilizopo ili iwe kimbilio la wawekezaji.
Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo Vya Habari Cha Chama Cha waandishi wa habari Mkoani humo, Kunenge alieleza ,endapo wadau ,wangetaka kulipwa gharama ya kazi wanayofanya Basi tusingeweza kurudisha fadhila.
Hata hivyo Alibainisha, mkoa umedhamiriaΒ kuufungua Mkoa ,mkoa unakwenda kubadilika katika sekta ya uchumi na uwekezaji.
β€œKuna eneo la Kwala ,Tuna kwenda kufungua Mji Kuwa Mji wenye fursa mbalimbali za uwekezaji,Kuna mkakati wa kuboresha Mji huo kwa uwekezaji na kuboresha miundombinu ya maji na umeme hata Bagamoyo tuna kazi kubwa ya kuupanga Mji ,Pia Chalinze, Kibaha, Bagamoyo,Mafia tunakwenda kupima Mji wetu kwa maendeleo ya mkoa”
Alieleza mabadiliko hayo yanatakiwa kutangazwa ,jamii ijue fursa zilizopo hauwezi Kuwa na maendeleo ama mipango yenye fursa zisizojulikana.
Kunenge alifafanua,mipango mingi inajulikana ndani ya jamii kutokana na kushirikiana baina ya Serikali na waandishi wa habari.
β€œTunapozungumzia uhuru wa vyombo vya habari,Rais kashaeleza msimamo wa Serikali,Cha kwanza sera,tabia yetu, je tunatenda kulingana na sera na Sheria kanuni na taratibu,! je? tunazitekeleza.”
β€œTunaweza kusema sheria ,sera kandamizi ,je !sisi watendaji tunazifuata .!
β€œMuwe sehemu ya kunipatia changamoto, kwakuwa Mimi , napimwa na Rais kutokana na namna ya kusimamia ulinzi na Usalama, kero za wananchi ,,kutatua migogoro mbalimbali, kuisemea Serikali mazuri inayofanya ,”alisema Kunenge.
Vilevile aliiasa jamii ,kuwaandaa vijana , wapende kufanya kazi,kwani vijana wanapaswa kubadilika .
Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa mkoa alikiahidi chama hicho kukipa kiwanja bure ili kujenga ofisi ya kudumu.
Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Pwani, Ally Hengo alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kupatiwa kiwanja na kusema wanakwenda kuondokana na hali ya kutangatanga.
Alisema, kwa Sasa wamepanga ofisi na kulipa Kodi lakini wakishapata kiwanja hicho na kukijenga itakuwa mkombozi.
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Ally Hamis Zingizi

Ally Hamis Zingizi

Related Posts

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO
BIASHARA

π–π€π™πˆπ‘πˆ 𝐖𝐀 π€π…π˜π€ WA ZANZIBAR π€πˆππ€ πŠπŽππ†πŽπ‹π„ π€πŠπˆππ€ π‚πŽπŒπ„π‘π‚πˆπ€π‹ ππ€ππŠ

by I am Krantz
Jul 3, 2022
NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO
BIASHARA

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO

by I am Krantz
Jul 3, 2022
BENKI YA CRDB KATIKA MAONESHO YA 46 YA SABASABA
BIASHARA

BENKI YA CRDB KATIKA MAONESHO YA 46 YA SABASABA

by I am Krantz
Jul 3, 2022
WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI
HABARI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
NEYMAR KUONDOKA PSG
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved Β© 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved Β© 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In