ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WAZIRI BITEKO AWAHIZA WACHIMBAJI WADOGO KUTAFUTA FURSA YA KUKUA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 30, 2022
in HABARI
0
WAZIRI BITEKO AWAHIZA WACHIMBAJI WADOGO KUTAFUTA FURSA YA KUKUA
0
SHARES
104
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Madini, Dotto Biteko amewataka wachimbaji wadogo nchini kutumia fursa zinazowekwa na Serikali ikiwa ni pamoja na kutafuta wafanyabiashara na kampuni kubwa ili kushirikiana katika kukuza uwekezaji kwenye sekta madini.

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

 

ADVERTISEMENT

–

 

Wito huo ameutoa mkoani Mwanza wakati akihitimisha ziara yake kwenye mgodi wa Busolwa Mining uliopo wilayani Misungwi ulioanzishwa kwa ushirikiano wa kikundi cha wananchi cha Isinka na mwekezaji, pamoja na mambo mengine Waziri Biteko amewahikikishia Serikali itaendelea kuweka mazingira rafiki ili wawekeze na kukuza mitaji yao.
–
‘’Unajua suala la kuitwa mchimbaji mdogo kila siku siyo sawa ni lazima ifike mahali mvuke hapo ,Serikali imewapa fursa nyingi sana ni lazima wapambane kutoka kwenye uchimbaji mdogo kwenda wa kati,nafahamu yapo matatizo mengi kwenye sekta ya madini lakini Rais ametuwekea mfumo mzuri kuanzia kwenye maeneo ya uchimbaji, masoko ya kuuzia madini na kuondoa urasimu ambao ungewachelewesha watu kuchimba madini.
ADVERTISEMENT

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In