ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, June 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Benki ya NMB yasaidia ukusanyaji wa Trilioni 8.6 za Serikali

I am Krantz by I am Krantz
Jun 23, 2022
in BIASHARA, HABARI, KONCEPT TV
0
Benki ya NMB yasaidia ukusanyaji wa Trilioni 8.6 za Serikali
0
SHARES
98
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna akimkabidithi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Amos Makalla nakala ya ripoti ya NMB ya mwaka 2021.

 

RelatedPosts

NMB, ZIPA zasaini Makubaliano ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar 

NMB, ZIPA zasaini Makubaliano ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar 

May 10, 2023

NMB YANG’ARA MAONESHO YA OSHA, YAIBUKA BENKI KINARA YENYE SERA BORA YA USALAMA, AFYA MAHALI PA KAZI

Apr 30, 2023

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Jan 25, 2023
Load More

Benki ya NMB kupitia mifumo yake mbali mbali ya malipo imesaidia Serikali kukusanya trilioni 8.6 kupitia mfumo wa Kielektroniki wa Malipo ya Serikali (GePG) kwa miaka mitatu kuanzia mwaka 2019 hadi 2021.

Hayo yalisemwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Ruth Zaipuna wakati wa warsha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa watendaji mbalimbali wa Mkoa wa Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla, Wakuu wa Wilaya, madiwani, watendaji na waweka hazina.

 

 

Zaipuna alisema benki yake imeendelea kuwekeza kwenye teknolojia jambo ambalo limesaidia kusogeza huduma za kifedha karibu na wananchi huku akisisitiza kuwa benki yake imejizatiti kuendelea kutoa bidhaa zinazokidhi mahitaj ya wateja wake.

“Ubunifu ni kitu pekee ambacho kimetusaidia kupiga hatua na ule uwekezaji ambao tuliufanya kwenye teknolojia ulituwezesha kuwa benki ya kwanza kuunga mifumo yetu na Mfumo wa Kielektroniki wa Malipo ya Serikali (GePG) na hadi sasa zaidi ya taasisi 1,100 tayari zimeunga mifumo yake kwenye mifumo ya NMB ya ukusanyaji wa mapato,” alisema.

Zaipuna alisema ukusanyaji wa mapato kupitia mfumo wa kielektroniki umekuwa ukongezeka kutoka 2.1 trilion mwaka 2019 hadi 3.7 trilioni mwaka jana.

“Fedha hizi zilikusanywa kupitia mifumo yetu ya NMB mkononi, NMB Wakala, Lipa Namba, intaneti nk. Tunaendelea kuwekeza kuhakikisha kuwa mtandao wetu upo vizuri na kuhakikisha usalama wa malipo,” Alisema.

Aidha, Zaipuna alisema benki yake imekuwa mstari wa mbele katika kuchangia maendeleo ya jamii nchini kote nakuongeza kuwa benki yake kwa makusudi ilizindua taasisi yake ya NMB Foundation ilikuchangia maendeleo endelevu.
Alisema Benki yake kwa makusudi iliamua kutenga asilimia moja ya faida yake kila mwaka kuchangia maendeleo nchini kote kwenye sekta za elimu, afya, kilimo, mazingira, uwezeshaji na matukio ya dharura.

ADVERTISEMENT

Zaipuna alisema benki yake itaendelea kushirikana na wadau mbali mbali wa maendeleo ikiwemo serikali ilikuleta maendeleo chanya na endelevu.
Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Amos Makalla wakati wa warsha hiyo alishukuru benki ya NMB kwa kuendelea kuunga mkono jitihada mbali mbali za Serikali za kuleta maendeleo kwa wananchi wake.

Makala alisema utendaji mzuri wa benki hiyo umetokana na mazingira mazuri ya kibiashara ambayo yamewekwa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan huku akisisitiza kuwa Serikali itandedelea kuboresha mazingira ya kubiashara ilikuvujia wawekezaji wengi nchini.

“Benki ya NMB imekuwa mstari wa mbele kuchangia shughuli zetu za serikali. Serikali ina hisa kwenye benki hii na juzi tu wametoa gawio kwa serikali. Tutaendelea kushirikiana na Benki ya NMB ili kuboresha mazingira ya wananchi wetu,” alisema Makalla.

ADVERTISEMENT

Makalla aliitaka benki hiyo kuendelea kubuni bidhaa mbali mbali zinazogusa wananchi kuanzia ngazi ya chini na kusisitiza kuwa Serikali itaendela kuchangia ushirikishwaji wa kifedha.

MWISHO

Related

Tags: NMB
ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM
HABARI

CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU
HABARI

MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
YALIYOJIRI KWENYE KURASA ZA MAGAZETI LEO MEI 21, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO MEI 31, 2023

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO
HABARI

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa  mkoani Tabora
HABARI

TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa mkoani Tabora

by I am Krantz
May 30, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In