ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, August 13, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DC JOKATE AWATANGAZIA NEEMA WAKAZI WA CHAMAZI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 25, 2022
in HABARI
0
DC JOKATE AWATANGAZIA NEEMA WAKAZI WA CHAMAZI
0
SHARES
59
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Aug 13, 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Aug 12, 2022

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

Aug 12, 2022
Load More

 

Na Sweetbetter Njige – TMC Habari.

Mkuu wa wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amefanya ziara katika kata ya Chamazi, mtaa wa Mbande Magengeni, kwa lengo la kusikiliza kero za Wananchi.

 

 

–

 

 

Katika ziara hiyo Mhe. Jokate aliambatana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Elihuruma Mabelya, Diwani wa kata ya Chamazi Mhe. John Laurent Gama, wakuu wa idara za manispaa ya Temeke na wakuu wa taasisi mbalimbali za Umma wakiwemo wa TANESCO ,NSSF, Jeshi la Uhamiaji na TARURA,ambapo Wananchi walipata wasaa wa kueleza kero zao na kupata majibu ya kero hizo moja kwa moja.

 

–

 

Wakati wa hotuba yake Mhe. Jokate aliwashukuru Wananchi kwa kujitokeza kwa wingi na kutoa kero zao, njia ambayo itasaidia kuboresha hali ya mazingira ya upatikanaji na utoaji huduma.

 

ADVERTISEMENT

 

–

 

“Changamoto hazikosekani kwenye njia ya kuyafikia maendeleo, nampongeza Mhe. Diwani kwa maendeleo anayoyapata katika kata, shule mpya yenye jumla ya vyumba 20 imejengwa kwa nguvu za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

 

–

 

Kupitia ruzuku na mapato ya ndani Mkurugenzi amefanikiwa kutoa milioni 470 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi Dovya, kupunguza mzigo kwenye shule nyingine, na kituo chetu cha polisi kinaenda kumalizika hivyo tutaimarisha ulinzi,tunatarajia miradi mingi zaidi katika kata hii kama vile kituo cha afya mtaa wa Mkondogwa kinachojengwa kwa milioni 500,TARURA wana mpango wa kujenga barabara za mitaa kwenye kata hii,hivyo tutafanikiwa kupunguza ama kuondoa kabisa kero zilizosemwa hapa kwa kiasi kikubwa”

 

–

 

Akizungumza kwa niaba ya Wananchi Mhe. Gama amempongeza Mhe. Jokate kwa kufika kujua hali halisi ya changamoto na kero za Wananchi na kuzitatua.

ADVERTISEMENT

 

–

 

Kwa upande wake mkurugenzi Mabelya amesema kwamba Manispaa imejipanga ipasavyo kuwahudumia Wananchi, na kwamba wasiwe na hofu kwani katika mwaka wa fedha ujao (2022/2023) wamejipanga kuboresha na kukarabati masoko na huduma nyingine mbalimbali ili wakusanye mapato huku Wananchi wakifurahia huduma.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene
BIASHARA

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

by I am Krantz
Aug 13, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022
HABARI

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji
HABARI

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
HABARI

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.
BIASHARA

Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.

by I am Krantz
Aug 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe
HABARI

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

by ALFRED MTEWELE
Aug 11, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In