ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DC JOKATE AWATANGAZIA NEEMA WAKAZI WA CHAMAZI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 25, 2022
in HABARI
0
DC JOKATE AWATANGAZIA NEEMA WAKAZI WA CHAMAZI
0
SHARES
174
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More

 

Na Sweetbetter Njige – TMC Habari.

Mkuu wa wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amefanya ziara katika kata ya Chamazi, mtaa wa Mbande Magengeni, kwa lengo la kusikiliza kero za Wananchi.

 

 

–

 

 

Katika ziara hiyo Mhe. Jokate aliambatana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Elihuruma Mabelya, Diwani wa kata ya Chamazi Mhe. John Laurent Gama, wakuu wa idara za manispaa ya Temeke na wakuu wa taasisi mbalimbali za Umma wakiwemo wa TANESCO ,NSSF, Jeshi la Uhamiaji na TARURA,ambapo Wananchi walipata wasaa wa kueleza kero zao na kupata majibu ya kero hizo moja kwa moja.

 

–

ADVERTISEMENT

 

Wakati wa hotuba yake Mhe. Jokate aliwashukuru Wananchi kwa kujitokeza kwa wingi na kutoa kero zao, njia ambayo itasaidia kuboresha hali ya mazingira ya upatikanaji na utoaji huduma.

 

 

–

 

“Changamoto hazikosekani kwenye njia ya kuyafikia maendeleo, nampongeza Mhe. Diwani kwa maendeleo anayoyapata katika kata, shule mpya yenye jumla ya vyumba 20 imejengwa kwa nguvu za Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

 

–

 

Kupitia ruzuku na mapato ya ndani Mkurugenzi amefanikiwa kutoa milioni 470 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya msingi Dovya, kupunguza mzigo kwenye shule nyingine, na kituo chetu cha polisi kinaenda kumalizika hivyo tutaimarisha ulinzi,tunatarajia miradi mingi zaidi katika kata hii kama vile kituo cha afya mtaa wa Mkondogwa kinachojengwa kwa milioni 500,TARURA wana mpango wa kujenga barabara za mitaa kwenye kata hii,hivyo tutafanikiwa kupunguza ama kuondoa kabisa kero zilizosemwa hapa kwa kiasi kikubwa”

 

–

 

Akizungumza kwa niaba ya Wananchi Mhe. Gama amempongeza Mhe. Jokate kwa kufika kujua hali halisi ya changamoto na kero za Wananchi na kuzitatua.

 

–

ADVERTISEMENT

 

Kwa upande wake mkurugenzi Mabelya amesema kwamba Manispaa imejipanga ipasavyo kuwahudumia Wananchi, na kwamba wasiwe na hofu kwani katika mwaka wa fedha ujao (2022/2023) wamejipanga kuboresha na kukarabati masoko na huduma nyingine mbalimbali ili wakusanye mapato huku Wananchi wakifurahia huduma.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In