ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Msanii Gift Stamford ‘Gigy Money’ Ameeleza Sababu Kwanini Amefollow Karibia Wasanii Wote Wakubwa Kutoka Bongo Lakini Hajamfollow Msanii Alikiba , Ambapo Ameeleza Kuwa Yeye Sio Shabiki Yake Ila Anapenda Muziki Wake Tu Na Kusema Kuwa KIBA Mwenyewe Hajafollow Mtu Kwanini Yeye (GIGY) Amfollow?
–
”Mimi Sio Shabiki Wa ALIKIBA Ila Napenda Muziki Wake Ujue Kumashabikia Mtu Sio Kwamba Humsikiizi Ila Kumshabikia Ni Ile Nachukua Kitu Chake Napost Flani Ana Jambo Lake Na Nini Na Ndio Hiyo Mimi Siwezi Kufanya Kwake Na Haitatokea.
–
“Labda Kama Tutakaa Tuyaongee Yaishe, Lakini Ni Msikilizaji Tu Wa Muziki Wake Na Napenda Muziki Wake Lakini Sio Shabiki Yake, Lakini Hayo Mambo Ya Kufollow Mtu Kwani Yeye Kafollow Mtu? Mimi Kanifollow? Hivyo Hakuna Anayemfollow Mwenzie Na Pambe Tu”.