ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

HAKUNA ATAKAYEHAMISHWA LOLIONDO – MAJALIWA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 10, 2022
in HABARI
0
HAKUNA ATAKAYEHAMISHWA LOLIONDO – MAJALIWA
0
SHARES
25
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema taarifa zinazoendelea kusambaa katika mitandaoni mbalimbali ya kijamii kuhusu uwepo wa vurugu kwenye eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha ni za upotoshaji unaofanywa na mtu ama kikundi cha watu wasioitakia nchi mambo mema.

RelatedPosts

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

Jun 29, 2022

POLISI 156 WAFUKUZWA MAFUNZONI

Jun 29, 2022

VIGOGO WA CHAMA CHA WALIMU WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA

Jun 29, 2022
Load More

 

–

 

Akitoa ufafanuzi wa suala la Loliondo bungeni jijini Dodoma, waziri mkuu amesema kinachoendelea katika eneo hilo kwa sasa ni uwekaji wa alama za za mipaka katika maeneo ya makazi na maeneo ya kitalii.

 

–

 

Ameliambia bunge kuwa uwekaji wa alama hizo hauhusiani na jambo la kumwondoa mtu yeyote kwenye eneo lake ama kusitisha shughuli za kiuchumi kwa wananchi.

 

–

 

Amesema zoezi la uwekaji alama kwa ajili ya makazi ya watu na maeneo ya kitalii katika eneo hilo la Loliondo ni agizo na Rais Samia Suluhu Hassan ambalo utekelezaji wake umefuata taratibu husika ikiwa na pamoja na ushirikishwaji wa wananchi.

 

–

ADVERTISEMENT

 

Waziri Mkuu Majaliwa ameeleza kusikitishwa na tabia iliyooneshwa na baadhi ya watu ama kikundi cha watu kupandikiza chuki miongoni wa wakazi wa eneo hilo ili waone zoezi hilo la uwekaji alama ni batili na hivyo kutaka kuliharibu.

 

ADVERTISEMENT

–

Amewataka wananchi wa Loliondo kuishi kwa amani na kuendelea na shughuli zao na kwamba Serikali itahakikisha inamchukulia hatua mtu ama watu wanaoendelea kutoa taarifa za upotoshaji kuhusu eneo hilo.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA
HABARI

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
POLISI 156 WAFUKUZWA MAFUNZONI
HABARI

POLISI 156 WAFUKUZWA MAFUNZONI

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
VIGOGO WA CHAMA CHA WALIMU WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA
HABARI

VIGOGO WA CHAMA CHA WALIMU WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
MAHAKAMA YATOA AMRI KESI HALIMA MDEE NA WENZAKE
HABARI

MAHAKAMA YATOA AMRI KESI HALIMA MDEE NA WENZAKE

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI HUU
HABARI

RAIS SAMIA ATEUA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
MPOLE AMFUNIKA MAYELE LIGI KUU YA NBC 2021/22
HABARI

MPOLE AMFUNIKA MAYELE LIGI KUU YA NBC 2021/22

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In