ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, July 2, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Jeuri ya Zuchu Kwa Diamond Platnumz Yawekwa Wazi,

Afanya Makubwa Chini ya Lebo ya WCB

I am Krantz by I am Krantz
Jun 3, 2022
in HABARI
0
Jeuri ya Zuchu Kwa Diamond Platnumz Yawekwa Wazi,
0
SHARES
112
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Zuchu akiwa na bosi wake, Diamond Platnumz.

ZUCHU; ni malkia mpya wa muziki nchini Tanzania ambaye ametumia miaka miwili vizuri ndani ya muziki na kujitengezea himaya yake na sasa anatambulika kama msanii wa kike mwenye ushawishi zaidi kimauzo mtandaoni.

RelatedPosts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

Jul 2, 2022

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

Jul 2, 2022

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

Jul 2, 2022
Load More

Mrembo huyo amefanya makubwa chini ya Lebo ya WCB ambapo inasemekana kwa sasa ana jeuri mbele ya bosi wake, Diamond Platnumz kwa sababu mauzo yake yanatisha.

Tayari Zuchu amefikisha streams (watazamaji/ wasikilizaji) zaidi ya milioni 70 katika Mtandao wa Boomplay akiongoza Afrika Mashariki upande wa wasanii wa kike.

Malkia mpya wa muziki nchini Tanzania, Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’.

Mwaka 2020 alifikisha streams milioni 12 na kumfanya kuwa msanii wa kike aliyesikilizwa zaidi kwenye mtandaoni huo kwa mwaka huo.

Mwaka 2021 alifikisha streams milioni 37 na kuandika rekodi kama msanii wa kike duniani aliyesikilizwa zaidi kwenye mtandaoni huo.

Mwaka 2022 hadi sasa ametoa wimbo mmoja tu wa Mwambieni, lakini tayari amejikusanyia streams zaidi ya milioni 24 hivyo anaongoza Afrika Mashariki upande wa wasanii wa kike.

Kwenye mtandao huo, Zuchu ana nyimbo nne zenye streams zaidi ya milioni 10 sawa na Diamond Platnumz au Mondi akifuatiwa na Jovial wa Kenya mwenye nyimbo tatu kisha Rayvanyy na Otile Brown (Kenya) ambao wote wana mbili.

Kwa jumla, kwa ujumla wasanii wenye streams nyingi Boomplay Afrika Mashariki ni Diamond, Rayvanny, Mbosso na Zuchu; wote kutoka WCB.

Ikumbukwe Extended Playlist (EP) ya Zuchu ya I Am Zuchu yenye nyimbo saba ilikaa tano bora kwenye chati za Boomplay kwa wiki 75 huku ukishika namba moja kwa wiki 35.

Kwa jumla, wasanii wa Afrika wenye streams nyingi Boomplay ni; Burna Boy, Joeboy, Fireboy, Omah Lay, Olamide, Kizz Daniel, Davido na Wizkid, wote kutokea na Nigeria na wakiwa na streams zaidi ya milioni 100 huku Burna Boy akiwa na zaidi ya streams milioni 200.

Zuchu tayari amefikisha views zaidi ya milioni 320 kwenye YouTube na kuwa msanii kike namba tano Kusini mwa Jangwa la Sahara kufanya hivyo.

ADVERTISEMENT

Wanaomtangulia ni Sinach (views milioni 654), Yemi Alade (milioni 633), Tiwa Savage (milioni 374) na Ada Ehi (milioni 321), wote hawa ni kutokea Nigeria.

ADVERTISEMENT

Zuchu amekuwao kwenye chati za YouTube nchini Tanzania kwa wiki 109 na ndiye msanii wa kike Bongo aliyekaa kwenye chati hizo kwa muda mrefu zaidi.

Kwa sasa Zuchu anashika namba nne kama msanii wa kike Afrika mwenye subscribers wengi YouTube Afrika akiwa nao milioni 1.97, waliomtangullia ni Sherine (Misri) -milioni 4.25, Zina Daoudia (Morocco) -milioni3.07 na Yemi Alade (Nigeria) -milioni 2.0.

Video ya wimbo wake wa Nyumba Ndogo iliyotoka Julai 1, 2021, imefikisha views milioni 21 na kuwa video pekee ya Singeli iliyotazamwa zaidi YouTube hivyo kuivunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Rayvanny.

HABARI NA GLOBAL PUBLISHERS   Cc; @sifaelpaul

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI
HABARI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
NEYMAR KUONDOKA PSG
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022
AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME
HABARI

AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI
HABARI

MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022
HABARI

SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In