ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, September 26, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

KIDUMO MEYA MPYA MANISPAA YA MOSHI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 30, 2022
in HABARI
0
KIDUMO MEYA MPYA MANISPAA YA MOSHI
0
SHARES
159
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

MKURUGENZI MPYA TANESCO APEWA MIEZI SITA TATIZO LA UMEME

MKURUGENZI MPYA TANESCO APEWA MIEZI SITA TATIZO LA UMEME

Sep 26, 2023

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

Sep 26, 2023

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.

Sep 26, 2023
Load More
Baraza la madiwani la manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, limemchagua Mhandisi Zuberi Kidumo kuwa meya wa manispaa hiyo baada ya kupata kura 27 kati ya 28 ambazo ni sawa na asilimia 96.4.
–

Akitangaza matokeo hayo, Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi Rashid Gembe amesema, kwa mujibu wa kanuni ya 4 na 10 ya kanuni za kudumu za halmashauri ya manispaa ya Moshi za mwaka 2015, Meya atashinda nafasi hiyo iwapo atapata nusu ya kura zitakazopigwa.

–

April 11 mwaka huu baraza la madiwani la manispaa ya Moshi lilimvua madaraka aliyekuwa meya wa manispaa hiyo Juma Rahibu kwa tuhuma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutumia madaraka yake vibaya na kujihusisha na vitendo vya rushwa kwa kutoa vibali vya ujenzi katika maeneo mbalimbali.

–

Mhandisi Zuberi Kidumo ni diwani wa kata ya Njoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

MKURUGENZI MPYA TANESCO APEWA MIEZI SITA TATIZO LA UMEME
HABARI

MKURUGENZI MPYA TANESCO APEWA MIEZI SITA TATIZO LA UMEME

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE
HABARI

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.
HABARI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.

by I am Krantz
Sep 26, 2023
WAPATA UMEME KWA MARA YA KWANZA TANGU NCHI IPATE UHURU
HABARI

WAPATA UMEME KWA MARA YA KWANZA TANGU NCHI IPATE UHURU

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
WAZIRI AWESO HATUWEZI KUFANYA KAZI PEKE YETU
HABARI

WAZIRI AWESO HATUWEZI KUFANYA KAZI PEKE YETU

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
TAMISEMI YATOLEA UFAFANUZI SAKATA LA DADA WA KAZI KUKOSA MASOMO
HABARI

TAMISEMI YATOLEA UFAFANUZI SAKATA LA DADA WA KAZI KUKOSA MASOMO

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In