Mazungumzo kati ya Manchester United na Barcelona juu ya uhamisho wa Frenkie De Jong huenda yakakwama kutokana na Mabosi wa Man Utd kuhofia kuwa Barca wanapanga bei kubwa kwa hali mbaya ya kiuchumi ya klabu hiyo.
–
ADVERTISEMENT
Barcelona wanahitaji angalau kiasi kisichopungua €80m huku Manchester United wakisisitiza kuwa kiasi hicho ni kikubwa.
–
Tayari United wameanza mazungumzo na mchezaji Christian Eriksen kama mbadala wake endapo dili hilo litakwama.
ADVERTISEMENT