ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, February 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Makabila yanayokula Nyama za Binadamu

I am Krantz by I am Krantz
Jun 9, 2022
in HABARI
0
Makabila yanayokula Nyama za Binadamu
0
SHARES
91
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Feb 7, 2023

HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

Feb 7, 2023

DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”

Feb 7, 2023
Load More

UKIHADITHIWA tu na mtu yeyote unaweza kusema ni hadithi ya kutungwa, lakini ukweli ni kwamba kuna watu huko kwenye visiwa vya Papua New Guinea ambavyo vimezungukwa na bahari inayoitwa Bismarck Sea wanakula binadamu wenzao.

Nchi hiyo yenye watu wapatao milioni 7.3 ina makabila mengi yanayotofautiana mila. Tena basi mengine yana mila mbaya na za kutisha na wanakiuka haki za binadamu kwa kiasi kikubwa. Katika mapori wanaoishi watu hao ni jambo la kawaida mtu ‘akionwa’ na wazee wa kimila kwamba ni mchawi, huteswa kwa kuchomwa na silaha zenye ncha kali lakini baya zaidi humalizwa kwa kukatwakatwa kisha kufukiwa kwenye shimo.

Yapo makabila mengi katika visiwa hivyo ambavyo vipo mashariki ya mbali, karibu na Indonesia na Australia. Baadhi ya makabila yanaishi maisha duni na ya enzi ya ujima. Kuna kabila ambalo mwanamke akifiwa na mume, hukatwa kidole kimoja, akifiwa na mtoto, hukatwa kidole kingine, huwa hivyo hata ukifiwa watoto watano, basi vidole vitano vitakatwa.


Wenyewe wanasema hiyo ni njia ya kuomboleza eti kwamba uwe na uchungu halisia baada ya kufiwa na ndugu yako wa damu, mtoto au mume. Haijaelezwa kwa nini wanaokatwa vidole huwa ni wanawake tu maana hata picha kwenye mitandao, wengi wa waliopoteza vidole wanaoonekana ni wanawake, tena wale wazee au wakongwe!

Makabila yanayofanya vitendo hivyo yameelezwa kuwa ni ya Dani na Kuru ambayo mengine yanapatikana katika nchi ya Indonesia pia. Inaelezwa inapotokea mtu amefariki dunia, mama mhusika huitwa na kuingizwa katika chumba maalum na kuulizwa anataka akatwe kidole gani.


Akionesha, kidole hukatwa bila sindano ya ganzi kwa pigo moja ya panga yenye makali na kupakwa dawa za mitishamba kisha mama aliyekatwa hutoka ndani huku akilia na ndipo waombolezaji wengine hudakia kulia kwa nguvu.Baada ya kidole kukatwa ncha iliyokatwa pamoja na kucha, huchomwa moto na wazee wa kimila huku wakiimba nyimbo za makabila yao.

Mara baada ya zoezi hilo kinachofuata na kidole kuchomwa moto na kuwa jivu kisha majivu yake huwekwa kwenye chombo maalum na baadaye hufuata zoezi la majivu hayo kupakwa nyuso za waombolezaji wote ambao wapo kwenye msiba huo.

Kwa kawaida watu hao hawavai nguo na badala yake hutumia magome ya miti na wanaume hufunika dhakari yao kwa aina fulani ya vibuyu. Kuna vibuyu vina ‘mkono’, basi hutumia mikono hiyo kuingiza kwenye dhakari na kuifunga kwa njia ya kitamaduni, lakini sehemu nyingine za eneo hilo nyetu huachwa wazi na hupita hata mbele ya watoto wao bila kuona haya!

Kwa upande wa wanawake, wao hufunika nyeti zao kwa magombe ya miti na matiti yao huachwa wazi vila kufunika chochote!

Kabila la Kuru wao kama aliyefariki dunia alikuwa ni kiongozi, basi ubongo wake hutolewa na kuliwa na wanaume.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
HABARI

HIZI HAPA JEZI MPYA ZA SIMBA ZA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA
HABARI

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

by ALFRED MTEWELE
Feb 7, 2023
YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25
HABARI

HAMTAMUONA KOCHA NABI AIRPORT – ALLY KAMWE

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25
HABARI

YANGA KWENDA TUNISIA LEO NA WACHEZAJI 25

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
QUEIROZ KOCHA MPYA QATAR
HABARI

QUEIROZ KOCHA MPYA QATAR

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023
ATSU APATIKANA AKIWA HAI KUTOKA KWENYE VIFUSI
HABARI

ATSU APATIKANA AKIWA HAI KUTOKA KWENYE VIFUSI

by Shabani Rapwi
Feb 7, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In