ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MIRADI YA KIMKAKATI KUENDELEA KUKAMILISHWA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 14, 2022
in HABARI
0
MIRADI YA KIMKAKATI KUENDELEA KUKAMILISHWA
0
SHARES
92
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

Mar 24, 2023

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

Mar 24, 2023

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

Mar 24, 2023
Load More

Serikali imesema katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 itaendelea kukamilisha miradi ya kielelezo na ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini, ambayo inatarajiwa kuwa na matokeo mapama ya haraka katika uchumi wa Taifa.

 

–

Kauli hiyo ya Serikali imetolewa bungeni jijini Dodoma na Waziri Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba wakati akiwasilisha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2021 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

 

–

 

ADVERTISEMENT

Amesema miradi hiyo ya kielelezo na ya kimkakati inatarajiwa kuzalisha ajira, kuongeza kipato pamoja na kupunguza hali ya umaskini nchini.

 

–

 

Dkt. Mchema ameitaja miradi hiyo kuwa pamoja na ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (SGR), mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere, kuboresha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia kuwa kimiminika (LNG) huko mkoani Lindi.

 

ADVERTISEMENT

–

 

Waziri huyo wa Fedha na Mipango ameongeza kuwa miradi ya kipaumbele kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023 itaendelea kuzingatia maemeo matano ya kipaumbele ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa miaka mitano kuanzia mwaka 2021/2022 hadi 2025/2026.

 

–

 

Alasiri hii leo, Dkt. Nchemba atawasilisha bungeni bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE
HABARI

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA
HABARI

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII
HABARI

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI
HABARI

WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI
HABARI

MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC
HABARI

BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC

by I am Krantz
Mar 24, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In