ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, June 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MWAKINYO AMKATAA BONDIA ALIYEPANGWA NAYE …ADAI HANA HADHI ANAYOSTAHILI…

I am Krantz by I am Krantz
Jun 8, 2022
in BURUDANI
0
Bondia Hassan Mwakinyo Kuzichapa na Bondia wa Ujerumani.
0
SHARES
309
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter


MENEJIMENTI ya bondia Hassan Mwakinyo imesema kama bondia huyo hatabadilishiwa mpinzani hatocheza Jumamosi ijayo huko Dominican Republic.

Mtandao wa ngumi za kulipwa wa dunia (boxrec) umemtaja Mwakinyo kuwa miongoni mwa mabondia 30 watakaopanda ulingoni siku hiyo kwenye Hotel ya Marien, Santiago Rodriguez, kuwasindikiza Liliana Martinez na Grecia Novas Mateo.

RelatedPosts

No Content Available
Load More

Boxrec inaonyesha Mwakinyo atazichapa na Julio de Jesus Rodriguez, pambano la utangulizi ambalo meneja wake amesema kama hatobadilishiwa mpinzani basi hatocheza kwa kuwa ni hasara kwake.

“Wamekuwa na pupa ‘haraka’ ya kuliweka boxrec wakati tangu mwanzo tuliwambia huyo mpinzani hafai kucheza na Mwakinyo, ni hasara kubwa bondia wetu kupigana naye,” alisema Huzeifa Huzeifa meneja wa Mwakinyo.

Alisema Mwakinyo ambaye kwa sasa anaishi Marekani si bondia wa kucheza na Rodriguez ambaye kwenye renki ya dunia ana nyota moja na nusu akiwa nafasi ya 316 kati ya mabondia 1908 na Mwakinyo ni wa 17 na nyota nne kwenye uzani wa super welter.

“Itakuwa ni hasara kubwa kwa Mwakinyo kucheza hilo pambano, halitomuongezea chochote hata kama atashinda, alipoletwa kwetu huyu mpinzani tulimkataa.

“Tuliwaambia bondia wetu atacheza na mabondia wenye renki za juu kidogo au waliowahi kucheza na miamba ya dunia na wale waliowahi kuwania mataji makubwa ya dunia kutokana na rekodi yake lakini si kwa huyu ambaye tumeletewa, tulimkataa mapema wao wamefanya pupa kumuweka boxrec,” alisema.

ADVERTISEMENT

Akizungumzia maneno yanayoendelea kuwa Mwakinyo kakubali kucheza pambano hilo ili apate pesa sababu ana ukata huko Marekani ambako kwa miezi kadhaa sasa ndiko anaishi, meneja wake alisema hayo ni maneno ya watu na hawawezi kuwazuia watu kusema watakacho.

ADVERTISEMENT

“Kila mtu ataongea anavyoweza, lakini sisi tunafahamu nini tunakifanya na Mwakinyo yuko kwenye levo gani kidunia,” alisema Huzeifa.

Alisema kama promota wa pambano la Jumamosi ataridhia kufuata taratibu na kubadilisha mpinzani kama wakivyokubaliana basi Mwakinyo atapigana la sivyo bondia huyo namba moja nchini hatacheza pambano hilo hadi pale itakavyoamuliwa vinginevyo.

Related

Tags: MWAKINYO
ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

PROFESSOR JAY AWASHUKURU WASANII WENZAKE WALIOKWENDA KUMUONA
BURUDANI

PROFESSOR JAY AWASHUKURU WASANII WENZAKE WALIOKWENDA KUMUONA

by ALFRED MTEWELE
May 18, 2023
DIVA THE BAWSE AWACHARUKIA WANAOFATILIA MAHUSIANO YA PAULA NA MARIOO
BURUDANI

DIVA THE BAWSE AWACHARUKIA WANAOFATILIA MAHUSIANO YA PAULA NA MARIOO

by ALFRED MTEWELE
May 16, 2023
TRUMP AKUTWA NA HATIA  YA UNYANYASAJI WA KINGONO
BURUDANI

TRUMP AKUTWA NA HATIA YA UNYANYASAJI WA KINGONO

by I am Krantz
May 10, 2023
HARMONIZE ” I AM NOT SINGLE AGAIN” SASA NIMEJIDHATITI
BURUDANI

HARMONIZE ” I AM NOT SINGLE AGAIN” SASA NIMEJIDHATITI

by ALFRED MTEWELE
May 9, 2023
DAR BARAKOA LAZIMA/LISU ANA JAMBO LAKE/YANGA,SIMBA , AZAM TAMBO TUPU…….MAGAZETINI LEO ALHAMISI TAREHE 25 JUNI
BIASHARA

KUMEKUCHA KATIBA MPYA…….KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMATATU TAREHE 8 MEI 2023

by I am Krantz
May 8, 2023
UNAYAJUA MAJUKUMU YA MFALME NA NAFASI YAKE KATIKA FAMILIA YA KIFALME?
BURUDANI

UNAYAJUA MAJUKUMU YA MFALME NA NAFASI YAKE KATIKA FAMILIA YA KIFALME?

by I am Krantz
May 7, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In