ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MWAKINYO AMKATAA BONDIA ALIYEPANGWA NAYE …ADAI HANA HADHI ANAYOSTAHILI…

I am Krantz by I am Krantz
Jun 8, 2022
in BURUDANI
0
Bondia Hassan Mwakinyo Kuzichapa na Bondia wa Ujerumani.
0
SHARES
204
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT


MENEJIMENTI ya bondia Hassan Mwakinyo imesema kama bondia huyo hatabadilishiwa mpinzani hatocheza Jumamosi ijayo huko Dominican Republic.

Mtandao wa ngumi za kulipwa wa dunia (boxrec) umemtaja Mwakinyo kuwa miongoni mwa mabondia 30 watakaopanda ulingoni siku hiyo kwenye Hotel ya Marien, Santiago Rodriguez, kuwasindikiza Liliana Martinez na Grecia Novas Mateo.

RelatedPosts

No Content Available
Load More

Boxrec inaonyesha Mwakinyo atazichapa na Julio de Jesus Rodriguez, pambano la utangulizi ambalo meneja wake amesema kama hatobadilishiwa mpinzani basi hatocheza kwa kuwa ni hasara kwake.

“Wamekuwa na pupa ‘haraka’ ya kuliweka boxrec wakati tangu mwanzo tuliwambia huyo mpinzani hafai kucheza na Mwakinyo, ni hasara kubwa bondia wetu kupigana naye,” alisema Huzeifa Huzeifa meneja wa Mwakinyo.

Alisema Mwakinyo ambaye kwa sasa anaishi Marekani si bondia wa kucheza na Rodriguez ambaye kwenye renki ya dunia ana nyota moja na nusu akiwa nafasi ya 316 kati ya mabondia 1908 na Mwakinyo ni wa 17 na nyota nne kwenye uzani wa super welter.

ADVERTISEMENT

“Itakuwa ni hasara kubwa kwa Mwakinyo kucheza hilo pambano, halitomuongezea chochote hata kama atashinda, alipoletwa kwetu huyu mpinzani tulimkataa.

“Tuliwaambia bondia wetu atacheza na mabondia wenye renki za juu kidogo au waliowahi kucheza na miamba ya dunia na wale waliowahi kuwania mataji makubwa ya dunia kutokana na rekodi yake lakini si kwa huyu ambaye tumeletewa, tulimkataa mapema wao wamefanya pupa kumuweka boxrec,” alisema.

Akizungumzia maneno yanayoendelea kuwa Mwakinyo kakubali kucheza pambano hilo ili apate pesa sababu ana ukata huko Marekani ambako kwa miezi kadhaa sasa ndiko anaishi, meneja wake alisema hayo ni maneno ya watu na hawawezi kuwazuia watu kusema watakacho.

“Kila mtu ataongea anavyoweza, lakini sisi tunafahamu nini tunakifanya na Mwakinyo yuko kwenye levo gani kidunia,” alisema Huzeifa.

Alisema kama promota wa pambano la Jumamosi ataridhia kufuata taratibu na kubadilisha mpinzani kama wakivyokubaliana basi Mwakinyo atapigana la sivyo bondia huyo namba moja nchini hatacheza pambano hilo hadi pale itakavyoamuliwa vinginevyo.

ADVERTISEMENT

Related

Tags: MWAKINYO
ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Stan Bakora Ahuhakikishia Ulimwengu Kuwa Kajala na Harmonize Wanafunga Ndoa Hivi Karibuni
BURUDANI

Stan Bakora Ahuhakikishia Ulimwengu Kuwa Kajala na Harmonize Wanafunga Ndoa Hivi Karibuni

by I am Krantz
Jun 22, 2022
Wabunge Waja Juu Sakata La Loliondo/Mpina Aichokonoa Tena Serikali Bei Ya Mbolea Na Umeme /Ole Sabaya Kazi Anayo /Yanga Siku Ya Kutua Aziz Ki/ Simba/Manula Kufuru Simba……… Magazeti Ya Tanzania Na Ya Nchi Za Nje, Leo, Jumanne, Juni 21, 2022
BURUDANI

Wabunge Waja Juu Sakata La Loliondo/Mpina Aichokonoa Tena Serikali Bei Ya Mbolea Na Umeme /Ole Sabaya Kazi Anayo /Yanga Siku Ya Kutua Aziz Ki/ Simba/Manula Kufuru Simba……… Magazeti Ya Tanzania Na Ya Nchi Za Nje, Leo, Jumanne, Juni 21, 2022

by I am Krantz
Jun 21, 2022
Lori Laua Wanafunzi Wanne / Rais Samia Aonya Kuhusu Panya Road/Kocha Wa Simba Ni Huyu Hapa /Zari Amzidi Kibenten Miaka 25…….MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE  20 JUNI
BURUDANI

Lori Laua Wanafunzi Wanne / Rais Samia Aonya Kuhusu Panya Road/Kocha Wa Simba Ni Huyu Hapa /Zari Amzidi Kibenten Miaka 25…….MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 20 JUNI

by I am Krantz
Jun 20, 2022
MBOSSO AFUNGUKA KUHUSU HALI YA AFYA YAKE
BIASHARA

MBOSSO AFUNGUKA KUHUSU HALI YA AFYA YAKE

by I am Krantz
Jun 20, 2022
Rais Samia: Tusizalishe ‘panya road’ wanatusumbua!
BURUDANI

Rais Samia: Tusizalishe ‘panya road’ wanatusumbua!

by I am Krantz
Jun 20, 2022
Q Chief Sasahivi ni Mganga wa Kienyeji…Afunguka Kuoteshwa Kutibu Watu
BURUDANI

Q Chief Sasahivi ni Mganga wa Kienyeji…Afunguka Kuoteshwa Kutibu Watu

by I am Krantz
Jun 19, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In