ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Nchi ya Uturuki Yabadili Jina Katika Mkakati wa Kulitangaza Taifa Hilo

I am Krantz by I am Krantz
Jun 3, 2022
in BIASHARA, HABARI
0
Nchi ya Uturuki Yabadili Jina Katika Mkakati wa Kulitangaza Taifa Hilo
0
SHARES
134
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan

NCHI ya Uturuki imefikia uamuzi wa kubadili jina lake linalotambulika siku zote la Turkey na sasa itafahamika kama Turkiye.

RelatedPosts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

Mar 24, 2023

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

Mar 24, 2023

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

Mar 24, 2023
Load More

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan mwaka jana mwezi desemba alisema:

“Turkiye ni kielelezo na kiwakilishi kizuri cha utamaduni, ustaarabu na thamani ya raia wa Uturuki.”

Umoja wa Mataifa umebainisha kuwa tayari umeshafanya mabadiliko mara tu baada ya kupokea taarifa hiyo mapema wiki hii.

ADVERTISEMENT

Raia wengi wa Uturuki tayari wanaitambua nchi yao kwa jina la Turkiye ingawa changamoto iliyopo ni kwamba jina la mwanzo bado ni maarufu sana midomoni mwa watu.

Rais Erdogan amesema jina la Turkiye ni kielelezo halisi cha raia wa Uturuki

Kituo cha Utangazaji cha Taifa TRT kilifanya mabadiliko ya haraka mara tu baada ya mchakato kutangazwa mwezi desemba mwaka jana.

Siyo jambo la ajabu au la kushangaza kwa nchi kubadili jina kwani tayari kuna mifano kadhaa ya nchi ambazo tayari zimeshabadili majina yao kwa sababu mbalimbali.

Nchi ya Uholanzi ilibadili jina lake kutoka Holland na kuwa Netherlands, Marcedonia ilibadili jina na kuwa North Macedonia, Iran ya sasa ilikuwa ikiitwa Persia huku Zimbabwe ya sasa zamani ilikuwa ikifahamika kama Rhodesia.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE
HABARI

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA
HABARI

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII
HABARI

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI
HABARI

WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI
HABARI

MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
TWITTER YATANGAZA KUONDOSHA BLUE TICK KUANZIA APRILI 1
BIASHARA

TWITTER YATANGAZA KUONDOSHA BLUE TICK KUANZIA APRILI 1

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In