ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Profesa Mkumbo ataka watu kula bata saa 24

I am Krantz by I am Krantz
Jun 7, 2022
in HABARI
0
Profesa Mkumbo ataka watu kula bata saa 24
0
SHARES
32
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

Jun 29, 2022

POLISI 156 WAFUKUZWA MAFUNZONI

Jun 29, 2022

VIGOGO WA CHAMA CHA WALIMU WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA

Jun 29, 2022
Load More
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Dodoma. Serikali imeombwa kutazama upya sheria za majiji ili kuruhusu watu kufanya shughuli zao huku wakifurahia kwa masaa yote.

Ombi hilo limetolewa bungeni leo Juni 6, 2022 na Mbunge wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo wakati akichangia kwenye hotuba ya makadilio ya mapato na matumizi kwa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo kwa bajeti ya mwaka 2022/23.

Profesa Kitila amesema sheria ya iliyopo ambayo inazuia shughuli za biashara za viwnayaji na starehe kwa muda wa asubuhi zimepitwa na wakati hivyo zinapaswa kufumuliwa na kuandaliwa upya.

Amezungumzia suala hilo kwamba limekuwa likiikosesha Serikali mapato ambayo yangekuwa na mchango mkubwa hata kwa uchumi wan chi.

Mbunge huyo amesema kuna watu ambao wanafanya kazi za jioni hadi asubuhi kwa hiyo hawana muda wa kufurahi wala kuburudisha miili yao na kwa sheria hiyo inamaana wataendelea kuwa na shida.

Ametolea mfano wa daktari ambaye anasema hivi karibuni alimlalamikia kuwa amekuwa akikamatwa kila wakati anapokunywa bia kabla ya kwenda kazini kwake.

“Yule daktari anafanya kazi katika hospitali moja ya Serikali na kwenye hilo yupo idara ya mochwari, anaingia jioni lakini kabla ya kuingia lazima apate bia sita hivyo akienda kunywa anakamtwa,”amesema Kitila.

Mwananchi

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA
HABARI

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
POLISI 156 WAFUKUZWA MAFUNZONI
HABARI

POLISI 156 WAFUKUZWA MAFUNZONI

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
VIGOGO WA CHAMA CHA WALIMU WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA
HABARI

VIGOGO WA CHAMA CHA WALIMU WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
MAHAKAMA YATOA AMRI KESI HALIMA MDEE NA WENZAKE
HABARI

MAHAKAMA YATOA AMRI KESI HALIMA MDEE NA WENZAKE

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI HUU
HABARI

RAIS SAMIA ATEUA MKUU WA MAJESHI YA ULINZI

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
MPOLE AMFUNIKA MAYELE LIGI KUU YA NBC 2021/22
HABARI

MPOLE AMFUNIKA MAYELE LIGI KUU YA NBC 2021/22

by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In