ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Sure Boy Atoa Kauli ya Kibabe Yanga, Aaahidi Kuwaziba Watu Midomo

I am Krantz by I am Krantz
Jun 9, 2022
in BURUDANI, MICHEZO
0
Sure Boy Atoa Kauli ya Kibabe Yanga, Aaahidi Kuwaziba Watu Midomo
0
SHARES
46
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ amekiri kukutana na ushindani mkubwa wa namba ndani ya kikosi hicho, lakini kamwe hatakubali kukaa benchi na badala yake atapambania nafasi yake.

Staa huyo amekutana na ushindani wa namba wa viungo kutoka kwa Mganda, Khalid Aucho, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Yannick Bangala na Zawadi Mauya.

Sure Boy alijiunga na Yanga katika usajili wa dirisha dogo msimu huu akitokea Azam FC baada ya kuomba mkataba wake uvunjwe.

Akizungumza na Spoti Xtra, Sure Boy alisema kabla ya kukubali kusaini Yanga, alifahamu ushindani atakaokwenda kukutana nao kutoka kwa viungo wa timu hiyo.

Yannick Bangala Litombo

Sure Boy alisema kuwa, licha ya kujihakikishia nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza cha Mtunisia, Nasreddine Nabi, lakini bado hajaridhika, hivyo amepanga kuendelea kuonesha kiwango bora ili aendelee kucheza.

Aliongeza kuwa, kikubwa alichopanga ni kuendelea kufanya mazoezi ya binafsi ili kufanikisha malengo yake ya kuendelea kucheza kwa kiwango kizuri.

Khalid Aucho nyota kutoka Uganda

“Ngumu kwenda katika timu mpya bila ya kukutana na ushindani, hivyo wakati nachukua maamuzi ya kuja kuichezea Yanga nilifahamu kabisa nakwenda kukutana na ushindani wa viungo bora.

RelatedPosts

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

R KELLY AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA

Jun 29, 2022

POLISI 156 WAFUKUZWA MAFUNZONI

Jun 29, 2022

VIGOGO WA CHAMA CHA WALIMU WAHUKUMIWA MIEZI 6 JELA

Jun 29, 2022
Load More

“Lipo wazi kabisa, Yanga ni kati ya timu iliyokuwa na viungo bora ambao ndio wameifanya timu ionekane bora na kukaa kileleni katika msimamo wa ligi.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

“Nikizungumzia viwango bora katika ligi lazima uwataje Aucho, Bangala na Fei Toto ambao ndio wanawafanya mabeki wacheze bila ya presha kwa maana ya kutoshambuliwa kila wakati,” alisema Sure Boy.

WILBERT MOLANDI

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Auto Draft
HABARI

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

by I am Krantz
Jun 26, 2022
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA
BIASHARA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

by I am Krantz
Jun 26, 2022
Chris Brown “Msinilinganishe na Michael Jackson”
HABARI

Chris Brown “Msinilinganishe na Michael Jackson”

by I am Krantz
Jun 23, 2022
Stan Bakora Ahuhakikishia Ulimwengu Kuwa Kajala na Harmonize Wanafunga Ndoa Hivi Karibuni
BURUDANI

Stan Bakora Ahuhakikishia Ulimwengu Kuwa Kajala na Harmonize Wanafunga Ndoa Hivi Karibuni

by I am Krantz
Jun 22, 2022
Wabunge Waja Juu Sakata La Loliondo/Mpina Aichokonoa Tena Serikali Bei Ya Mbolea Na Umeme /Ole Sabaya Kazi Anayo /Yanga Siku Ya Kutua Aziz Ki/ Simba/Manula Kufuru Simba……… Magazeti Ya Tanzania Na Ya Nchi Za Nje, Leo, Jumanne, Juni 21, 2022
BURUDANI

Wabunge Waja Juu Sakata La Loliondo/Mpina Aichokonoa Tena Serikali Bei Ya Mbolea Na Umeme /Ole Sabaya Kazi Anayo /Yanga Siku Ya Kutua Aziz Ki/ Simba/Manula Kufuru Simba……… Magazeti Ya Tanzania Na Ya Nchi Za Nje, Leo, Jumanne, Juni 21, 2022

by I am Krantz
Jun 21, 2022
Lori Laua Wanafunzi Wanne / Rais Samia Aonya Kuhusu Panya Road/Kocha Wa Simba Ni Huyu Hapa /Zari Amzidi Kibenten Miaka 25…….MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE  20 JUNI
BURUDANI

Lori Laua Wanafunzi Wanne / Rais Samia Aonya Kuhusu Panya Road/Kocha Wa Simba Ni Huyu Hapa /Zari Amzidi Kibenten Miaka 25…….MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 20 JUNI

by I am Krantz
Jun 20, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In