************************
Nafasi ya nne yupo Uganda akiwa na pointi 1 na Algeria anaongoza kundi akiwa na alama 6 baada ya kushinda mechi mbili huku Niger akiwa nafasi ya pili na alama 2.
Mechi ijayo Stars itacheza dhidi ya Uganda Septemba 19 ugenini kisha kurudiana Septemba 27 kwa Mkapa.