ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA JUN 10, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 10, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA JUN 10, 2022
0
SHARES
1.2k
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

Auto Draft

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

Jun 26, 2022

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

Jun 26, 2022

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

Jun 26, 2022
Load More

Klabu kubwa Ulaya zinaamini kuwa Raheem Sterling, 27, yuko tayari kuondoka katika Manchester City msimu huu, huku Chelsea ikiwa ni miongoni mwa klabu zinazomtaka.

 

–

 

Paris St-Germain wamewasiliana na Lille kuhusu kusaini mkataba na Sven Botman baada ya mazungumzo na AC Milan kukwama ingawa Tottenham, Manchester United na Chelsea pia wameulizia kuhusu mlinzi huyo Mholanzi , 22, huku Newcastle wakiwa bado wanania naye.

 

–

 

Liverpool imefikia makubaliano ya sheria binafsi na mshambuliaji wa Benfica mwenye umri wa miaka 22, Darwin Nunez kwa ya kumsajili kama mbadala wa Sadio Mnane ambaye anahusishwa kutakiwa na Bayern Munich.

 

ADVERTISEMENT

–

 

Barcelona wamekuwa katika mazungumzo kumuhusu mchezaji wa Manchester City Bernardo Silva lakini wanaweza kumsajili kiungo huyo wa kati wa Ureno mwenye umri wa miaka 27, iwapo watamuuza kiungo wao rai wa Uholanzi Frenkie de Jong, 25.

 

–

 

Kiungo wa kati wa Manchester City, Mjerumani Ilkay Gundogan, mwneye umri wa miaka 31 ambaye mkataba wake unaendelea hadi 2023, anatakiwa na Barcelona na Juventus.

 

–

 

Oleksandr Zinchenko yuko tayari kuondoka Manchester City msimu huu, lakini klabu zozote zenye nia na yeye ambazo ni pamoja na Wolves, Arsenal, Everton, Leicester na West Ham, zitapaswa kumhakikishi mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 kwamba zita mpatia muda wa mechi katikati ya uwanja, ambapo mchezaji huyo anayetumia guu la kushoto zaidi hucheza kwa ajili ya Ukraine.

 

–

 

Fenerbahce wameelezea nia yao kwa mchezaji wa Manchester United, Andreas Pereira lakini mashetani hao wekundu pia wamemwambia kiungo wa kati Mbrazil mwenye umri wa miaka 26 kuwa atapewa fursa ya kumvutia meneja mpya Erik ten Hag kabla ya msimu kuanza.

 

–

 

Leeds United na Aston Villa wameanza mazungumzo na mshambuliaji Muingereza mwenye umri wa miaka 18 Sonny Perkins, ambaye ameonekana kwatika kikosi cha kwanza mara tatu katika klabu ya West Ham.

 

ADVERTISEMENT

–

 

Wolves wamemthamanisha kiungo wa kati Muingereza Morgan Gibbs-White, mwenye umri wa miaka 22, kwa thamani ya pauni milioni 25 ambaye amekuwa akihusishwa na taarifa za kuhamia katika klabu za Nottingham Forest na Southampton baada ya kumalizika kwa msimu wa mkataba wake wa mkopo katika Sheffield United.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Auto Draft
HABARI

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

by I am Krantz
Jun 26, 2022
ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA  MCHUMBA WAKE
HABARI

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE
HABARI

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK
HABARI

HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE
HABARI

ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA
BIASHARA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

by I am Krantz
Jun 26, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In