ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATANO JUNI 22, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 22, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA LEO JUMATANO JUN 15, 2022
0
SHARES
92
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

Auto Draft

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

Jun 26, 2022

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

Jun 26, 2022

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

Jun 26, 2022
Load More

Klabu ya Inter Milan ya Italia imekubali dili la kumsajili mshambuliaji Romelu Lukaku kwa mkopo wa msimu mzima kutoka Chelsea.

 

 

–

 

 

The Blues walimsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 kutoka Inter kwa pauni milioni 97.5 mnamo Agosti 2021, lakini atarejea katika kikosi hicho cha Serie A ambacho kilikuwa na matatizo msimu uliopita.

 

 

–

 

Ada ya mkopo kwa Lukaku ni takriban euro 8m (£6.9m). Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ubelgiji alifunga mabao 15 katika michuano yote msimu uliopita akiwa na Chelsea, na mabao manane katika mechi 26 za Premier League.

 

 

 

Mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski bado anataka kuondoka Bayern Munich, licha ya mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo ya Ujerumani, Hasan Salihamidzic kusafiri kukutana na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 ana kwa ana kujaribu kumshawishi kuendelea kusalia klabuni hapo.

 

–

 

 

Real Madrid wameongeza nia ya kutaka kumnunua mshambuliaji wa Uingereza, Raheem Sterling katika wiki za hivi karibuni, huku Barcelona na Chelsea wakifuatilia maendeleo kuhusu mustakabali usio na uhakika wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 katika klabu ya Manchester City.

 

 

–

 

Barcelona wanataka kumsajili beki wa Ufaransa, Jules Kounde, lakini hawataki kulipa euro milioni 60 za Sevilla (£51.5m) kwa ajili ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23.

 

–

ADVERTISEMENT

 

Arsenal na Newcastle wanamtaka kiungo wa kati wa Uhispania Fabian Ruiz, 26, ambaye mkataba wake na Napoli utakamilika 2023.

 

–

 

Tottenham wanatazamia kufanya mazungumzo zaidi ya kumsajili beki wa kulia wa timu ya taifa ya England chini ya umri wa miaka 21, Djed Spence kutoka Middlesbrough. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 alikaa msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Nottingham Forest na kuwasaidia kupanda EPL.

 

 

–

 

Borussia Dortmund, ambayo ilimuuza mshambuliaji wa Norway Erling Haaland mwenye umri wa miaka 21 kwa Manchester City, inatazamiwa kumsajili mshambuliaji wa Ivory Coast, Sebastien Haller kutoka Ajax kwa euro milioni 36.

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

Wolves wanatarajiwa kufanya mazungumzo kuhusu kumsajili mshambuliaji wa Brazil, Gabriel Barbosa, 25, kutoka Flamengo na kiungo wa kati wa Argentina, Enzo Fernandez, 21, kutoka River Plate.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Auto Draft
HABARI

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

by I am Krantz
Jun 26, 2022
ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA  MCHUMBA WAKE
HABARI

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE
HABARI

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK
HABARI

HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE
HABARI

ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA
BIASHARA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

by I am Krantz
Jun 26, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In