ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATANO JUNI 29, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 29, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATANO JUNI 29, 2022
0
SHARES
354
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More
ADVERTISEMENT

 

Chelsea inakaribia kuafikiana na Leeds kuhusu dau la kumnunua mshambuliaji wa Brazil na Leeds United, Raphina  mwenye umri wa miaka 25 , ambaye pia anazivutia klabu kama vile Arsenal na Barcelona.

 

–

 

 

Chelsea sasa imebadilisha mawazo yake na sasa inamnyatia beki wa Milan na Slovakia mwenye umri wa miaka 27, Milan Skriniar ambaye pia analengwa na PSG baada ya kubaini kwamba kifungu cha kumuuza mchezaji wa Juventus na Uholanzi Matthijs de Ligt, mwenye umri wa miaka 22 ni ghali mno.

Matthisj De ligt

PSG imekubaliana masharti na Skriniar Pamoja na kiungo wa kati wa Lille na Ureno Renato Sanchez 24 na mshambuliaji wa Itali mwenye umri wa miaka 23 Gianluca Scamacca, ambaye anaichezea Sassuolo. Mabingwa hao wa Ufaransa sasa watalazimika kuweka makubaliano na klabu hizo tatu.

–

Chelsea imehusishwa na harakati za kumnunua mchezaji mwengine wa tatu wa klabu ya Manchester City. The Blues inataka  kumnunua mshambuliaji wa Ukraine international Oleksandr Zinchenko, 25, kutoka kwa mabingwa hao wa ligi ya Premia baada ya kuanzisha mazunumzo ya kutaka kumsaini mshambuliaji wa England Raheem Sterling, 27, kutoka kwao mbali na kuhusishwa na usajili wa beki wa Uholanzi Nathan Ake, 27.

Kiuno wa Man City Zinchenko

Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag anatumai kumsaini kiungo wa kati wa Uholanzi Frenkie de Jong ,25, kutamshawishi kiungo mchezeshaji wa Denmark Christian Eriksen ,30, kujiunga na klabu hiyo ya Old Trafford.

–

Tottenham wameimarisha  harakati zao za kutaka kumsaini mshambuliaji wa Everton na Brazil Richarlison , 25 lakini ombi la £20m ambalo lilishirikisha winga wa Uholanzi Steven Bergwijn, 24, limekataliwa na the Toffees.

–

Middlesbrough imakasirishwa na hatua ya klabu ya Tottenham kusitoisha mkaubaliano ya kumnunua beki wa kulia wa Englandanayechezea timu ya umri wa chini ya miaka 21 Djed Spence na hilo linaweza kufungua milango ya Nottingham Forest kumnunua mchezaji wa miaka 21 , ambaye aliisaidia klabu hiyo ya City Ground kupandishwa hadhi ya kucheza katika ligi ya Premia msimu uliopita.

–

Crystal Palace inakaribia kumsaini kungo wa kati wa Lens Cheick Doucoure katika makubaliano yenye thamani ya Yuro Milioni 21 pamoja na marupurupu kwa mchezaji huyo  wa Mali mwenye umri wa miaka 21.

–

Fulham imeruhusiwa kuzungumza na kiungo wa kati wa Brazil Andreas Pereira baada ya kukubaliana da una Manchester United  ,ijapokuwa mchezaji hyo mwenye umri wa miaka 26 anataka kusalia katika timu ya Flamengo ya Brazil ambapo yupo kwa mkopo.

Doucoure kulia

Southampton imejiunga na klabu nyneginezo baada ya kuvutiwa na kiungo wa kati wa Burnley  na England Josh Brownhill 26.

–

Manchester City imekubali kumuuza mchezaji wa England anayechezea timu ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 19 Sam Edozie , 19, kwa klabu ya Ujerumani Bayer Leverkusen  kwa dau la £10m.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In