ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, July 2, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

UINGEREZA YASITISHA SAFARI YA WAOMBA HIFADHI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 15, 2022
in HABARI
0
UINGEREZA YASITISHA SAFARI YA WAOMBA HIFADHI
0
SHARES
25
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

Jul 2, 2022

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

Jul 2, 2022

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

Jul 2, 2022
Load More

 

Uingereza imesitisha safari ya ndege ya kwanza ya waomba hifadhi iliyokuwa imepangwa kufanyika Jumanne, baada ya Mahakama ya Haki za Binaadamu ya Ulaya kusema mpango huo unaakisi athari zisizoweza kurekebishwa.

 

–

Uamuzi huo ni baada ya siku kaadhaa za vita nikuvute za kisheria kutoka kwa mawakili wenye kupigania haki za binaadamu, ambao walianzisha mfululizo wa rufaa zenye lengo la kuzuia hatua ya ufukuzwaji watu katika orodha ya serikali.

 

ADVERTISEMENT

–

 

Awali hapo jana maafisa wa serikali ya Uingereza walisema ndege hiyo ingeanza safari yake bila ya kujali itakuwa na abiria wangapi ndani. Lakini baada ya rufaa hizo hakuna aliyesalia. Ijumaa iliyopita vyombo vya habari vya Uingereza viliripoti kuwa watu ambao walipaswa kuondoshwa nchini humo walikuwa zaidi ya 30.

 

–

 

Uingereza inajipanga upya kwa safari nyingine. Baada ya kusitishwa kwa safari hiyo, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza Priti Patel alisema amesikitishwa lakini hana uwezo wa kuzuia haki kutendeka. Hata hivyo amesema timu ya wanasheria ya serikali inapitia kwa kina uamuzi huo na kujiandaa safari nyingine ya ndege.

ADVERTISEMENT

 

–

 

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson aliyekuwa akiukingia kifua mpango huo wa Uingereza anasema kuwa ni njia halali ya kulinda maisha ya watu na kuzuia magenge ya wahalifu ambayo husafirisha wahamiaji kwa kutumia ujia wa bahari wa Uingereza kwa kutumia boti ndogo.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI
HABARI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
NEYMAR KUONDOKA PSG
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022
AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME
HABARI

AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI
HABARI

MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022
HABARI

SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In