ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, August 13, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

YANGA IMEVUNJA HISTORIA YA SIMBA MSIMU HUU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jun 25, 2022
in HABARI
0
YANGA IMEVUNJA HISTORIA YA SIMBA MSIMU HUU
0
SHARES
191
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Aug 13, 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Aug 12, 2022

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

Aug 12, 2022
Load More

Ni mara ya pili katika historia kwa timu zinazoshiriki ligi kuu nchini Tanzania kutwaa ubingwa bila kupoteza(unbeaten) Mara ya kwanza ilikuwa msimu wa 2009/2010 Mnyama Simba alivyotwaa ubingwa bila kupoteza chini ya kocha Mzambia Patrick Phiri ambapo mnamo April 21,2010 katika uwanja wa Taifa( kwasasa Benjamin Mkapa) baada ya mchezo wao wa mwisho dhidi Mtibwa Sugar kutoka Manungu Morogoro.

 

 

–

 

 

Miongoni mwa mastaa waliotwaa ubingwa msimu huo ni pamoja na akina Mussa Hassan Mgosi,Mohamedi Banka, Nico Nyagawa,Juma Jabu,Joseph Owino,Kelvin Yondani,Juma Nyoso, Uhuru Selemani na Salum Kanoni. Wengine ni Juma Kaseja,Deo Munish,Ally Mustafa,Jabir Azizi Haruna Shamte na Amri Kiemba. Simba ilicheza mechi 22,walishinda 20 na kutoa sare mechi mbili wakivuna alama 62 wakifunga magoli 50 na kuruhusu nyavu zao kutikiswa mara 12. katika sare walizopata ni kutoka kwa African Lyon na Kagera Sugar.

 

 

–

ADVERTISEMENT

 

 

Ikumbukwe pia Simba wakati huo ilikaa miaka miwili mfululizo bila kombe hilo ambalo kwa muda wote huo lilikuwa kwa watani zao Yanga. Nafasi ya tatu katika msimu huo ilichukuwa na Azam FC. Msimu wa 2021/2022.

 

 

ADVERTISEMENT
Wachezaji na baadhi ya viongozi wa klabu ya Yanga wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa Kombe lao la Ligi Kuu msimu w 2021/22 katika uwanja wa Sokoine, Mbeya.

Ni msimu mzuri kwa Yanga,msimu ambao nao wametengeneza historia baada ya Simba kufanya hivyo miaka 12 iliyopita. Yanga imenyanyua makwapa bila kupoteza na sasa wana kila sababu ya kutamba mbele ya watani zao Simba kwamba wamevunja historia.

 

Katika michezo 29 waliocheza wameshinda mechi 29 walizocheza wamebeba alama 71 ambazo hakuna timu inayoweza kuzifikia. Simba kupitia meneja wake wa habari na Mawasiliano Ahmed Ally waliwapongeza watani wao wa jadi kwa kubeba ubingwa baada ya miaka minne kupita.

 

Na kwasasa kinachosubiriwa na mashabiki wengi ni ukarabati wa vikosi vya wanakariakoo ambavyo vinamashabiki ndani na nje ya Tanzania. Kadhalika mashabiki wake wanatamani kuona vikosi hivyo vitafanya nini katika mashindano ya kimataifa ambayo wote watashiriki.

 

 

 

–

 

Ameandika , Na, Adamu Hussein Chauya

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene
BIASHARA

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

by I am Krantz
Aug 13, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022
HABARI

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji
HABARI

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
HABARI

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.
BIASHARA

Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.

by I am Krantz
Aug 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe
HABARI

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

by ALFRED MTEWELE
Aug 11, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
June 2022
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
27282930  
« May   Jul »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In