ADVERTISEMENT
KLABU ya Yanga leo imekabidhiwa kombe lao la Ligi Kuu Tanzania Bara NBC mara baada ya kutangazwa mabingwa wa ligi hiyo hivi karibuni.
–
Yanga Sc imekabidhiwa kombe hilo leo Sokoine mkoani Mbeya ambapo walikuwa wanacheza mchezo wao wa 29 bila kufungwa hivyo na kubakia na mechi moja wamalize ligi bila kufungwa.
–
ADVERTISEMENT
Yanga Sc wamecheza na Mbeya City na kulazimishwa sare ya 1-1, mchezo ambao ulijawa na hisia za mashabiki ambao waliujaza uwanja huo kushuhudia Yanga ikikabidhiwa kombe hilo.