ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, August 13, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

NAPE ATOA WITO KWA WANANCHI KUENDELEA KUTUMIA HUDUMA ZA POSTA

I am Krantz by I am Krantz
Jul 7, 2022
in HABARI
0
NAPE ATOA WITO KWA WANANCHI KUENDELEA KUTUMIA HUDUMA ZA POSTA
0
SHARES
44
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Aug 13, 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Aug 12, 2022

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

Aug 12, 2022
Load More
ADVERTISEMENT
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye, atoa wito kwa wananchi kuendelea huduma za Shirika la Posta kwani kwa sasa Shirika limeboresha huduma zake kuwa za kisasa kulingana na mahitaji ya wananchi.

Hayo ameyasema leo Tarehe 06 Julai, 2022 wakati alipohudhuria Siku maalum ya Shirika la Posta katika viwanja vya Maonesho ya 46 Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), jijini Dar es Salaam

Aidha, Mhe. Waziri ametumia nafasi hiyo kulipongeza Shirika la Posta Tanzania kwa juhudi inayoendelea kuzifanya katika kutoa huduma bora na stahiki kulingana na mahitaji ya wananchi hususani katika kipindi hiki cha maendelea ya TEHAMA

Sambamba na hilo, Mhe. Nape amepata fursa ya kutembelea mabanda mbalimbali viwanjani hapo ikiwemo Banda la Shirika la Posta Tanzania na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa katika viwanja hivyo  

Naye, Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Macrice Mbodo ameelezea huduma mbalimbali zinazotolewa na Shirika hilo viwanjani hapo ikiwemo huduma za EMS, Duka Mtandao, Posta Kiganjani, Huduma za kubadilisha fedha za kigeni na Uwakala ikiwemo ukataji wa tiketi za ndege ya ATCL

Pia, Postamasta Mkuu ametumia nafasi hiyo kuendelea kuwakaribisha wananchi katika banda la Posta lililopo viwanjani hapo ili kuendelea kufurahia huduma za kisasa

Hafla hiyo ya Siku maalum ya Posta imehudhuriwa Viongozi waandamizi na wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania pamoja na wasanii mbalimbali wa maigizo (Bongo Movie) ikiwemo Swebe, Snura, Tausi Mdegela, Dr Kumbuka, Asha Boko, na wengine mbalimbali



Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano,
Shirika la Posta Tanzania.
06 Julai, 2022.
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene
BIASHARA

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

by I am Krantz
Aug 13, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022
HABARI

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji
HABARI

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
HABARI

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.
BIASHARA

Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.

by I am Krantz
Aug 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe
HABARI

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

by ALFRED MTEWELE
Aug 11, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
July 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In