ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, August 8, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

NMB yawagusa Wanafunzi Wilayani Temeke

I am Krantz by I am Krantz
Jul 25, 2022
in HABARI
0
NMB yawagusa Wanafunzi Wilayani Temeke
0
SHARES
20
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard (wa tatu kushoto), akimkabidhi Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Hassan Rugwa, sehemu ya msaada wa viti 50 na meza 50 kwa ajili ya Shule ya Sekondari Kibasila. Kushoto ni Meneja wa NMB Tawi la Mbagala, Halima Mcharazo na wa pili kushoto ni Meneja wa NMB Tawi la Temeke, Kidawa Masoud.
Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard (katikati), akimkabidhi Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Hassan Rugwa, sehemu ya msaada wa madawati 100 kwa ajili ya Shule ya Msingi Chemchem ya Mbagala katika hafla iliyofanyika leo Dar es Salaam.
Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard (wa tatu kushoto), akimkabidhi Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Hassan Rugwa, sehemu ya msaada mabati 600 kwa ajili ya shule tatu za msingi zilizopo wilaya ya Temeke.

Benki ya NMB imekabidhi msaada wa mabati 600, madawati 100, pamoja na viti 50 na meza 50, kwa ajili ya shule nne za Msingi na Moja ya Sekondari, zilizopo Manispaa ya Temeke Jijini Dar es Salaam, vyote vikiwa na thamani ya Sh.Mil.39.

Hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Shule ya Sekondari Kibasila, huku shule za msingi zilizonufaika na msaada huo zikiwa ni Keko Magulumbasi, Mtoni, Azimio na Chemchem.

RelatedPosts

MATUKIO  YA PICHA TAMASHA LA SIMBA DAY N2022

MATUKIO YA PICHA TAMASHA LA SIMBA DAY N2022

Aug 8, 2022

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Aug 8, 2022

UKRAINE YAISHTUMU RUSSIA KUSHAMBULIA KIWANDA CHA NYUKLIA

Aug 8, 2022
Load More

Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Donatus Richard alimkabidhi misaada hiyo Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Hassan Rugwa na kushuhudiwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Meya na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke.

Donatus alisema wakati wa hafla hio, thamani ya msaada huo ni sehemu tu ya Sh. Bilioni 2, ambazo ni sawa na asilimia 1 ya faida ya NMB kwa mwaka uliopita wa 2021, kwa kupitia Sera ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) katika Sekta za Elimu, Afya na Majanga mbalimbali.

Meneja huyo aibainisha kuwa, Kibasila imepokea viti 50 na meza 50, huku shule za msingi Keko Magulumbasi, Azimio ya Tandika na Mtoni ya Mtoni kijichi kila moja ikipewa mabati 200, wakati Shule ya Chemchem ya Mbagala ikijipatia madawati 100.

ADVERTISEMENT
NMB yawagusa Wanafunzi Wilayani Temeke

 

Aidha, Rugwa aliipongeza NMB kwa namna inavyoijali jamii kwa kushirikiana bega kwa bega na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali kwa kuboresha mazingira ya kujisomea, kufundishia, na upatikanaji wa huduma za afya ndani ya Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla.

“Hakika NMB ni mshirika sahihi sio tu wa harakati za maboresho ya mazingira ya kujisomea na kufundishia, bali na suluhishi mbalimbali za kifedha. Kila yanapotokea mahitaji, NMB haijawahi kusita kuisapoti jamii inayoizunguka,” Rugwa aliongezea.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

MATUKIO  YA PICHA TAMASHA LA SIMBA DAY N2022
HABARI

MATUKIO YA PICHA TAMASHA LA SIMBA DAY N2022

by Shabani Rapwi
Aug 8, 2022
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .
HABARI

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

by I am Krantz
Aug 8, 2022
UKRAINE YAISHTUMU RUSSIA KUSHAMBULIA KIWANDA CHA NYUKLIA
HABARI

UKRAINE YAISHTUMU RUSSIA KUSHAMBULIA KIWANDA CHA NYUKLIA

by Shabani Rapwi
Aug 8, 2022
POLISI WATANO WAUAWA NA WASHAMBULIAJI
HABARI

POLISI WATANO WAUAWA NA WASHAMBULIAJI

by Shabani Rapwi
Aug 8, 2022
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATATU AGOSTI 08, 2022
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATATU AGOSTI 08, 2022

by Shabani Rapwi
Aug 8, 2022
ACHA KUNYONYA SEHEMU ZA SIRI WAKATI WA KUFANYA MAPENZI
HABARI

ACHA KUNYONYA SEHEMU ZA SIRI WAKATI WA KUFANYA MAPENZI

by Shabani Rapwi
Aug 7, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
July 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In