ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, October 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SHIRIKA LA POSTA LAIBUKA KIDEDEA TUZO ZA SABASABA

I am Krantz by I am Krantz
Jul 16, 2022
in HABARI
0
SHIRIKA LA POSTA LAIBUKA KIDEDEA TUZO ZA SABASABA
0
SHARES
220
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

Sep 29, 2023

TSO WAZINDUA GALA DINNER

Sep 29, 2023

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

Sep 29, 2023
Load More

Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Macrice Mbodo akipokea tuzo ya mtoa huduma bora wa huduma za usafirishaji (Courier and Logistic Exhibitor) kutoka kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, mara baada ya kilele cha maonesho hayo jijini Dar es Salaam
Shirika la Posta Tanzania limeibuka kidedea katika tuzo za Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), zilizotolewa leo tarehe 13 Julai, 2022, katika viwanja vya Maonesho Sabasaba, jijini Dar es Salaam.

Tuzo hizo zilizoratibiwa na TANTRADE, zimekabidhiwa na Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye ndiye alikuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maonesho hayo tarehe 13 Julai, 2022, jijini Dar es Salaam

Aidha, Shirika la Posta limeibuka kidedea katika kundi la Mtoa huduma bora za Usafirishaji (Courier and Logistic Exhibitor) wa mwaka katika maonesho hayo. Kwa sasa Shirika limeendelea kuboresha miundombinu ya usafirishaji nchini hususani katika kuongeza magari yake na pikipiki kwa ajili ya usambazaji wa mwisho (last mile delivery).

Akizungumza mara baada ya kupokea tuzo hiyo, Postamasta Mkuu,Bwana Macrice Mbodo, ameishukuru Mamlaka hiyo kwa kutambua mchango wa Shirika nchini hasa katika shughuli za Usafirishaji, kwani tuzo hizo zitaendelea kuchochea na kuongeza hamasa kwa Shirika kuendelea kutoa huduka bora kwa wananchi.

Kwa upande wake,naye Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara za Shirika hilo Bwana Constantine Kasese ameeleza kuwa kwa sasa Shirika la Posta limeendelea kuboresha huduma zake ili kuendena na mahitaji ya sasa ya wananchi.
 
Maonesho haya yaliyokuwa na Kauli Mbiu ya “Tanzania ni sehemu sahihi kwa Biashara na Uwekezaji” yalianza rasmi tarehe 28 Juni, 2022 na yamefungwa leo tarehe 13 Julai, 2022

TANTRADE huwa na utaratibu wa kuandaa tuzo hizi kila mwaka kwa kutambua mchango wa Taasisi/Mashirika/Kampuni katika kutoa huduma kwa wananchi hususani katika kipindi cha maonesho ya Sabasaba.


Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano;
Shirika la Posta Tanzania.
13 Julai, 2022.

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

July 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In