ADVERTISEMENT
BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa sikukuu ya Eid El-Adh’haa inatarajiwa kuwa Jumapili Julai 10, 2022 ambapo sherehe za kitaifa zitafanyika Dar es Salaam.
–
Swala ya Eid itaswaliwa katika msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni ikifuatiwa na baraza la Eid.

ADVERTISEMENT