ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, August 13, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA LEO ALHAMISI JILAI 7, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jul 7, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA LEO ALHAMISI JILAI 7, 2022

BRENTFORD, ENGLAND - OCTOBER 24: Youri Tielemans of Leicester City celebrates after scoring their sides first goal during the Premier League match between Brentford and Leicester City at Brentford Community Stadium on October 24, 2021 in Brentford, England. (Photo by Alex Pantling/Getty Images)

0
SHARES
290
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Aug 13, 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Aug 12, 2022

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

Aug 12, 2022
Load More
ADVERTISEMENT

Arsenal wana uhakika wa kuipiku Manchester United kwenye usajili wa pauni milioni 30 wa kiungo wa kati wa Leicester na Ubelgiji, Youri Tielemans, 25.

–

Manchester United wametoa dau la pauni milioni 51 kumnunua mshambuliaji wa Ajax Mbrazil Antony, 22, lakini klabu hiyo ya Uholanzi inashikilia dau la £68m.

–

Chelsea inaandaa dau la pauni milioni 38 kumnunua kiungo wa kati wa Sporting Lisbon na Ureno Matheus Nunes, ambaye pia analengwa na Wolves.

–

Nottingham Forest inatumai kukamilisha mikataba ya mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Muingereza Omar Richards, 24, na mlinzi wa kulia wa Liverpool Neco Williams wa Wales, 21, ifikapo wikendi.

–

Southampton pia wanavutiwa na Williams na wanatumai kumpiku Forest kwenye saini ya beki huyo.

TH

Everton wanajiandaa kumpa winga wa England chini ya umri wa miaka 21 Anthony Gordon, 21, mkataba mpya ili kuzuia nia ya Newcastle.

–

The Toffees pia hawana nia ya kumuuza mshambuliaji wa Uingereza Dominic Calvert-Lewin na wanaweza kumpa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 mkataba mpya pia.

–

Leeds wamewataka Barcelona kutoa ofa ya mwisho kwa Raphinha wiki hii kwani wanataka mustakabali wa mshambuliaji huyo wa Brazili kutatuliwa haraka iwezekanavyo.

–

Crystal Palace wana matumaini ya kuzishinda Everton na Nottingham Forest katika kumnasa kiungo wa kati wa Wolves Muingereza Morgan Gibbs-White, 22.

–

Palace wako kwenye mazungumzo ya kumsajili kiungo wa kati wa Swansea Muingereza Flynn Downes, 23, kwa £8m.

–

Lakini West Ham pia wanajadili kuhusu mpango wa kumnunua Downes, ambaye alikuwa shabiki wa nyundo wa utotoni.

TH

Arsenal wanataka kuuza wachezaji saba – akiwemo winga wa Ivory Coast na aliyesajiliwa kwa rekodi ya klabu Nicolas Pepe, 27, na mlinda mlango wa Ujerumani Bernd Leno – ili kufadhili matumizi ya wachezaji wengine wapya.

–

Fulham wako kwenye mazungumzo na The Gunners kuhusu kumnunua Leno mwenye umri wa miaka 30.

–

Tottenham wanakaribia kukamilisha usajili wa pauni milioni 15 wa beki wa pembeni wa England chini ya miaka 21 Djed Spence kutoka Middlesbrough.

–

Club Brugge imekataa ombi kutoka kwa Leeds kwa kiungo wa kati wa Ubelgiji Charles De Ketelaere, 21, ambaye angependelea kuhamia AC Milan.

–

Kiungo wa kati wa Uingereza Jesse Lingard, 29, anatazamiwa kuruka kuelekea Marekani kufanya mazungumzo na timu mbili za Ligi Kuu ya Soka baada ya kuachiliwa na Manchester United mwezi uliopita.

–

Wachezaji wa Uingereza watapokea bonasi ya pauni 55,000 kwa kila mchezaji iwapo watashinda Ubingwa wa Ulaya kwa Wanawake.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene
BIASHARA

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

by I am Krantz
Aug 13, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022
HABARI

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji
HABARI

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
HABARI

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.
BIASHARA

Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.

by I am Krantz
Aug 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe
HABARI

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

by ALFRED MTEWELE
Aug 11, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
July 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In