ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, August 8, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 25.07.22

Italia,Barani Ulaya

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
Jul 25, 2022
in MICHEZO
0
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 25.07.22
0
SHARES
16
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Zimbabwe Yazindua Sarafu za Dhahabu

Zimbabwe Yazindua Sarafu za Dhahabu

Jul 26, 2022
Load More
ADVERTISEMENT

Rais wa klabu ya Barcelona  Joan Laporta amesema kwamba ‘uwepo’ wa Lionel Messi katikaklabu hiyo haujakwisha  baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35 na kiungo mchezeshaji wa Argentina kumaliza kipindi chake cha miaka 21 katika klabu hiyo na kujiunga na klabu ya PSG. (ESPN)

Barcelona pia haijakubali ofa zozote za kumuuza kiungo wake raia wa Uholanzi Frenkie  huku Manchester United ikihusishwa pakubwa na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25. (ESPN)

Lakini United inafikiri uhamisho wa kiungo wa Lazio na Serbia Sergej Milinkovic -Savic 27, kama mbadala wa de Jong.. (Calciomercato – in Italian

Savic

Liverpool  inajaribu kufanya uamuzi wa iwapo watakubali ombi la  pauni 19.5m lililowasilishwa na Juventus kumnunua mshambuliaji wa Brazil Roberto Firmino, 30. (Tuttomercato – in Italian)

Tottenham iko tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa Tanguy Ndombele huku klabu ya Galatasaray ikiwa na hamu ya kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25.. (Media Foot – in French)

Juventus pia imemuorodhesha mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial 26 katika orodha yake , lakini Manchester united haina hamu ya kumuuza. (Mirror)

Tottenham iko tayari kumuuza kiungo wa kati wa Ufaransa Tanguy Ndombele huku klabu ya Galatasaray ikiwa na hamu ya kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25.. (Media Foot – in French)

Juventus pia imemuorodhesha mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial 26 katika orodha yake , lakini Manchester united haina hamu ya kumuuza. (Mirror)

Martial

Beki wa kati wa Sevilla na Ufaransa Jules Kounde, 23, atajiandaa kukubali masharti ya kibinafsi na klabu ya Barcelona.. (Fabrizio Romano)

 Chelsea huenda ikaizuia Barcelona kutomsaini beki wa Uhispania Cezsar Azpilicueta,32, ikiwa klabu hiyo ya Catalan itateka nyara mipango yake yenyewe ya kumleta Kounde Stamford Bridge. (Barua)

ADVERTISEMENT

Related

Tags: HABARI KIMATAIFA
ADVERTISEMENT
ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

Related Posts

SIMBA SC KUKIWASHA DHIDI YA MABINGWA WA LIGI KUU ETHIOPIA SIMBA DAY
MICHEZO

SIMBA SC KUKIWASHA DHIDI YA MABINGWA WA LIGI KUU ETHIOPIA SIMBA DAY

by ALFRED MTEWELE
Aug 5, 2022
Meddie Kagere Ajiunga Na Singida Big Stars FC
MICHEZO

Meddie Kagere Ajiunga Na Singida Big Stars FC

by ALFRED MTEWELE
Aug 4, 2022
MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA YAZINDULIWA
MICHEZO

MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA YAZINDULIWA

by ALFRED MTEWELE
Aug 4, 2022
HARMONIZE ATAKUWEPO KUTUMBUIZA SINGIDA BIG DAY
MICHEZO

HARMONIZE ATAKUWEPO KUTUMBUIZA SINGIDA BIG DAY

by ALFRED MTEWELE
Aug 4, 2022
SINGIDA BIG STARS FC YAJIPANGA KIVINGINE  MSIMU WA LIGI KUU 2022/2023
MICHEZO

SINGIDA BIG STARS FC YAJIPANGA KIVINGINE MSIMU WA LIGI KUU 2022/2023

by ALFRED MTEWELE
Aug 4, 2022
CRDB YAJA NA MBIO ZA BAISKELI CRDB MARATHON MSIMU 3
MICHEZO

CRDB YAJA NA MBIO ZA BAISKELI CRDB MARATHON MSIMU 3

by ALFRED MTEWELE
Aug 4, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
July 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In