ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, August 13, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO ALHAMISI JULAI 28, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jul 28, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATATU JUNI 27, 2022
0
SHARES
138
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 28.07.2022

Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo

Cristiano Ronaldo ameiambia Manchester United kwamba anataka kuachiliwa kusitisha kandarasi yake ili kuchezea timu inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya lakini United wamekariri kuwa hawataki kumuuza mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 37.

–

Dili la mshambuliaji wa Liverpool Roberto Firmino linaripotiwa kuwa “karibu sana” huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 akitarajiwa kuhamia Juventus katika ligi ya Serie A.

–

Hatua hiyo inaweza kusimamisha harakati za Juventus kumnunua mshambuliaji wa Chelsea na Ujerumani Timo Werner, 26, na mshambuliaji wa Manchester United na Ufaransa Anthony Martial, 26.

Timo warner
Timo Warner
 

Beki wa kushoto wa Uhispania Alex Grimaldo, 26, ndio chaguo kuu kwa Manchester City, huku Benfica ikiweka bei ya euro 20m kwa uhamisho wake.

–

Bournemouth wamekubali mkataba wa pauni milioni 15 kumsaini kiungo wa kati wa Middlesbrough Muingereza Marcus Tavernier, 23.  Nottingham Forest inavutiwa na kiungo wa kati wa Real Betis na Ureno William Carvalho, 30.

Joules Kunde
Joules Kunde
 

Barcelona wanakaribia kuipiku Chelsea katika kumsajili Jules Kounde, 23, baada ya kuafikiana na Sevilla kwa ada ya euro 50m kumnunua mlinzi huyo wa Ufaransa.

–

Uhamisho wa mkopo wa Nuno Tavares kutoka Arsenal kwenda Atalanta uko mashakani baada ya timu hiyo ya Italia kukataa ombi la The Gunners la mkopo wa moja kwa moja na mpango wa kumnunua beki huyo wa kushoto wa Ureno mwenye umri wa miaka 22.

–

ADVERTISEMENT

Manchester United bado wana matumaini ya kumsajili kiungo wa kati wa Uholanzi Frenkie de Jong, 25, kutoka Barcelona.

Frankie de Jong
Frankie de Jong
 

Frankie de Jong amewaambia wachezaji wenzake wa Barca kwamba hana nia ya kuondoka Nou Camp msimu huu wa joto, licha ya kuwindwa na United.

RelatedPosts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Aug 13, 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Aug 12, 2022

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

Aug 12, 2022
Load More
–

 Paris St Germain walimsajili mshambuliaji wa Italia Gianluca Scamacca, 23, kabla ya kukamilisha uhamisho wake wa kwenda West Ham kutoka Sassuolo. Mshambuliaji wa Uruguay Luis Suarez, 35, ametia saini mkataba na Nacional.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene
BIASHARA

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

by I am Krantz
Aug 13, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022
HABARI

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji
HABARI

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
HABARI

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.
BIASHARA

Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.

by I am Krantz
Aug 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe
HABARI

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

by ALFRED MTEWELE
Aug 11, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
July 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In