ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, August 8, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA, JULAI 8, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Jul 8, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE JULAI 5, 2022
0
SHARES
317
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Aug 8, 2022

UKRAINE YAISHTUMU RUSSIA KUSHAMBULIA KIWANDA CHA NYUKLIA

Aug 8, 2022

POLISI WATANO WAUAWA NA WASHAMBULIAJI

Aug 8, 2022
Load More
TH

Chelsea wanajiandaa kuwasalimisha  mabeki wa pembeni wa Uhispania Cesar Azpilicueta, 32, na Marcos Alonso, 31, pamoja na pauni milioni 51 ili kuwashinda Manchester United katika mbio za kumsajili kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong, 25.

TH

Manchester United wako tayari kusikiliza ofa kwa Cristiano Ronaldo msimu huu wa joto huku Chelsea na Napoli wakimtaka mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 37.

–

Tottenham wanakaribia kukamilisha usajili wa beki wa kati wa Barcelona na Ufaransa Clement Lenglet, 27, kwa mkataba wa mkopo wa msimu mzima.

th

Manchester United wametakiwa kulipa ada ya uhamisho ya pauni milioni 106 ili kuwasajili mlinzi wa Argentina Lisandro Martinez, 24, na winga wa Brazil Antony, 22, kutoka Ajax.

–

Mkufunzi wa Brentford Thomas Frank anasisitiza kuwa klabu ya London Magharibi haikati tamaa katika kumsajili kiungo wa kati wa Denmark Christian Eriksen, 30, ambaye anatarajiwa kujiunga na Manchester United.

–

Arsenal wanafikiria kumnunua beki wa kushoto wa Benfica Mhispania Alex Grimaldo, 26, huku Mikel Arteta akitamani kuongeza ulinzi kwa Kieran Tierney. th

Chelsea wanatazamia kumpa beki wa pembeni wa England Reece James, 22, nyongeza ya kandarasi, licha ya mkataba wake wa sasa kukamilika Juni 2025, ili kuzuia nia ya Manchester City na Real Madrid.

–

Chelsea bado wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili Raphinha kwa pauni milioni 55, huku Leeds bado wakisubiri ofa kutoka kwa Barcelona kwa ajili ya kumnunua mshambuliaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 25.

–

Mshambulizi wa Ureno Fabio Silva, 19, anatazamiwa kujiunga na Anderlecht kwa mkopo wa msimu mzima kutoka Wolves, ambao walimnunua kwa £35m miaka miwili iliyopita.

th

Leeds wako tayari kulipa  kiasi cha kuvunja rekodi ya klabu  cha £31.6m kumsajili mshambuliaji wa Ubelgiji Charles de Ketelaere kutoka Club Bruges, 21.

–

Kiungo wa kati wa Arsenal Muingereza Matt Smith mwenye umri wa miaka 21 anasakwa na vilabu vingi vya Championship vikiwemo Millwall na Luton msimu huu wa joto.

–

Newcastle bado wako kwenye mazungumzo na Everton kuhusu uwezekano wa kumnunua winga Mwingereza Anthony Gordon, 21.

–

Norwich City wanavutiwa na mshambuliaji wa Manchester City na Colombia Marlos Moreno, 25.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .
HABARI

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

by I am Krantz
Aug 8, 2022
UKRAINE YAISHTUMU RUSSIA KUSHAMBULIA KIWANDA CHA NYUKLIA
HABARI

UKRAINE YAISHTUMU RUSSIA KUSHAMBULIA KIWANDA CHA NYUKLIA

by Shabani Rapwi
Aug 8, 2022
POLISI WATANO WAUAWA NA WASHAMBULIAJI
HABARI

POLISI WATANO WAUAWA NA WASHAMBULIAJI

by Shabani Rapwi
Aug 8, 2022
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATATU AGOSTI 08, 2022
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMATATU AGOSTI 08, 2022

by Shabani Rapwi
Aug 8, 2022
ACHA KUNYONYA SEHEMU ZA SIRI WAKATI WA KUFANYA MAPENZI
HABARI

ACHA KUNYONYA SEHEMU ZA SIRI WAKATI WA KUFANYA MAPENZI

by Shabani Rapwi
Aug 7, 2022
NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima
HABARI

NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

by I am Krantz
Aug 7, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
July 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
« Jun   Aug »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In