ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, August 13, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

I am Krantz by I am Krantz
Aug 5, 2022
in HABARI
0
Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini
0
SHARES
16
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

 

RelatedPosts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Aug 13, 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Aug 12, 2022

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

Aug 12, 2022
Load More

 

 

 

 

ADVERTISEMENT

 

 

Benki ya NMB imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kutoa mikopo kwa wadau katika mnyororo wa thamani wa sekta ya nishati nchini kwa lengo  la  kusaidia ukuaji wa sekta hiyo.

Akichangia mada wakati wa Kongamano la Nishati lililofanyika jijini Dar es Salaam jana, Alfred Shao, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, alisema benki hiyo ina bidhaa nyingi za kifedha mahususi kusaidia wawekezaji katika sekta ya nishati chini.

Shao alisema benki hiyo ikiwa ni mshauri wa uwekezaji aliyeidhinishwa pia inatoa huduma za ushauri kwa wateja na pia wakati mwingine husaidia kutafuta mitaji kwa makampuni mapya.

“Sisi kama benki tunaelewa kuwa uwekezaji katika sekta ya nishati  unahitaji mitaji mikubwa. Tuna fedha za kutosha kutoa mikopo kwa wadau  kwenye sekta ya nishati.  Kwa sasa tunaweza kutoa mkopo wa mpaka milioni 300 kwa mtu mmoja,” alisema Shao.

Alisema benki hiyo pia imejenga ushirikiano mzuri na mashirika ya kifedha ya kimataifa kama vile Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) na ina mpango wa kuanzisha hati fungani za kijani.

“Tulifanikiwa kutoa Hati Fungani Maalum ‘NMB Jasiri Bond’ mwaka huu ambayo ilikuwa na mwitikio mzuri sana tunatarajia kutoa hati fungani ya kijani inayolenga sekta ya nishati jadidifu,” alisema.

 

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Biashara na Uwekezaji, Exaud Kigahe wakati wa hafla hiyo alisema Serikali inatarajia kutumia fursa kwenye maeneo ambayo hayajatumika hasa katika nishati jadidifu yaani renewable energy na kusisitiza dhamira ya Serikali ya kuendelea kufanya kazi na sekta binafsi katika kukuza sekta hiyo.

ADVERTISEMENT

Alisema Serikali tayari imeanza utekelezaji wa mkakati wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara nchini Tanzania huku akisisitiza dhamira ya Serikali ya kupunguza urasimu usio wa lazima miongoni mwa taasisi zake.

“Kwa nchi yetu haipo kwenye kiwango kizuri cha mazingira ya kufanya biashara. Tumepiga hatua kubwa kuweka mazingira mazuri ya biashara kama sehemu ya juhudi zetu za kuvutia wawekezaji zaidi nchini na hii itatusaidia kuongeza ushindani,” alisisitiza.

MWISHO

 

 

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene
BIASHARA

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

by I am Krantz
Aug 13, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022
HABARI

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji
HABARI

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
HABARI

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.
BIASHARA

Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.

by I am Krantz
Aug 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe
HABARI

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

by ALFRED MTEWELE
Aug 11, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In