Kampuni ya Bolt imetangaza kusitisha huduma za usafiri wa magari kwa baadhi ya wateja wake kuanzia Agosti 17, 2022 huku huduma hiyo ikibaki kwa wateja wa kampuni na taasisi pekee.
–
ADVERTISEMENT
Tamko hilo limeeleza kuwa uamuzi huo ni kutokana na mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) kuchukua muda mrefu kuhusu utaratibu wa utoaji huduma ambao Bolt imedai umekuwa ukiwasababishia hasara.
ADVERTISEMENT