ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, February 7, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MCHENGERWA AMUAGA MABEYO AMKABIDHI MIKOBA YA LUGALO GOFU MKUU WA MAJESHI MKUNDA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Aug 29, 2022
in HABARI
0
MCHENGERWA AMUAGA MABEYO AMKABIDHI MIKOBA YA LUGALO GOFU MKUU WA MAJESHI MKUNDA
0
SHARES
95
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa serikali itaendelea kumuenzi Jenerali mstaafu Venance Mabeyo kutokana na mchango wake wakukuza tasnia ya michezo nchini.

 

–

 

Akizungumza Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kufunga Shindano maalum (NBC LUGALO TROPHY 2022) la kumuaga aliyekuwa mlezi wa klabu ya gofu ya Lugalo Venance Mabeyo na kumkaribisha mlezi mpya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda amesema kuwa wizara inampa pongezi nyingi Mabeyo kwa kipindi chote alichokuwa madarakani na kuchochea Wana Michezo kufanya vizuri na kututoa kimasomaso katika Michuano ya umoja wa Madola yaliyomalizika nchini Marekani.

 

–

 

RelatedPosts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumanne Februari 7,2023

Feb 7, 2023

NEYMAR ASHINDA SAMBA D’OR, BRAZIL

Feb 7, 2023

CONTE AMPIGIA SIMU KANE BAADA YA KUIFUNGA CITY

Feb 6, 2023
Load More

“Serikali inakili kuwa juhudi za Mabeyo zimechangia kwa kiasi kikubwa kufanikisha kwa medali 3 zilizokuja nchini kutokea nchini Marekani kwa wanamichezo kutoka jeshini kufuzu Mashindano ya jumuiya ya Madola Marekani ni wazi hamasa yake Kwa wanamichezo jeshini imepelekea ushindi huu ambao kwa Miaka mingi tulikua tunaenda kusindikiza wenzetu lakini kwa mwaka huu tumekua washindi”.

 

–

 

Aidha, Mchengerwa amepongeza Jenerali mstaafu George Waitara kwa kuanzisha klabu hiyo na wengine kuiendeleza huku akimkaribisha Mkuu wa Majeshi Jacob Mkunda.

 

 

–

 

 

“Namfahamu umahiri wake Mkunda katika Michezo na kwa uzoefu alionao wa kulea vikundi vya michezo ataendeleza yale ambayo waasisi wameacha na kukamilisha mradi wa uwanja wa gofu mkoani Dodoma.

 

 

–

 

 

 

Kwa upande wake Mabeyo aliwashukuru wanachama wa klabu hiyo kwa ushirikiano waliomuonesha tangu alivyopewa ulezi mwaka 2017 na kuwataka kumpa ushirikiano Jenerali Mkunda

 

 

–

 

“Tumeanzisha klabu nyingine ya gofu Ihumwa kule Dodoma na inaendelea na matengenezo na hivi karibuni itakamilisha mashimo tisa na kumkabidhi Jenerali Mkunda kuhakikisha anaiendeleza ili watu waendelee kucheza gofu”.

 

 

–

 

 

Pia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda ameahidi kuiendeleza Klabu hiyo ya Golf Nchini sambamba na Klabu mpya ya golf ya JWTZ ihumwa Dodoma.

 

–

 

 

Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Klabu ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo amempongeza sana Mlezi mstaafu wa Klabu hiyo na kumkaribisha Mlezi mpya huku akihaidi ushirikiano na ushindi kila Mashindano yanayofanyika nje na ndani ya Klabu.

 

ADVERTISEMENT

–

ADVERTISEMENT

 

 

Huku akiwasihi wadhamini kuendelea kutoa ushirikiano wa dhati katika mchezo wa gofu na kueka jitihada kuhakikisha watoto (Jr) wanafika mbalimbali Kwa kushiriki Mashindano yanayoandaliwa na wadhamini kama walivofanya benki ya biashara (NBC).

 

Source : Michuzi Blog 

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumanne Februari 7,2023

by ALFRED MTEWELE
Feb 7, 2023
CONTE AMPIGIA SIMU KANE BAADA YA KUIFUNGA CITY
HABARI

CONTE AMPIGIA SIMU KANE BAADA YA KUIFUNGA CITY

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
MAN CITY YASHTAKIWA, KUPUNGUZWA POINTI AU KUSHUSHWA DARAJA
HABARI

MAN CITY YASHTAKIWA, KUPUNGUZWA POINTI AU KUSHUSHWA DARAJA

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
TIGO KWENDA KUMKABIDHI  GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA
HABARI

TIGO KWENDA KUMKABIDHI GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA

by ALFRED MTEWELE
Feb 6, 2023
SHOTI YA UMEME YAUA MAMA AKIMUOKOA MTOTO WAKE
HABARI

SHOTI YA UMEME YAUA MAMA AKIMUOKOA MTOTO WAKE

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
AFARIKI KWA KULA CHAKULA CHENYE SUMU
HABARI

AFARIKI KWA KULA CHAKULA CHENYE SUMU

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In