ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

RC Makalla Atatua Mgogoro wa Ardhi Kigamboni

Dar es Salaam, Tanzania

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Aug 19, 2022
in HABARI
0
RC Makalla Atatua Mgogoro wa Ardhi Kigamboni
0
SHARES
156
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

RC MAKALLA AKATAZA UUZAJI BIDHAA ZA CHAKULA KWA KUZIPANGA CHINI

RC MAKALLA AKATAZA UUZAJI BIDHAA ZA CHAKULA KWA KUZIPANGA CHINI

Apr 29, 2023
Load More
RC MAKALLA ATANGAZA KIAMA KWA WEZI WA MAFUTA KIGAMBONI. – J Five Tv Online
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewataka wananchi wote waliovamia na kujenga kwenye maeneo ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) eneo la Kigamboni kushirikiana na mfuko huo kwa kukubali kulipa fidia ya fedha, ili waweze kumilikishwa na kuendelea kusalia kwenye maeneo hayo.
Makalla ametoa maelekezo hayo Kufuatia kamati iliyoundwa kuchunguza mgogoro huo kubaini wananchi hao walivamia maeneo ya NSSF na kujenga kinyume na sheria.
Akizungumza na wavamizi hao wakati wa ziara ya utatuzi wa migogoro ya ardhi wilayani Temeke, Makalla ameelekeza NSSF kurasimisha upya maeneo hayo kwa kupima viwanja, ili wavamizi walio tayari kulipa walipe na baada ya mgogoro kuisha wananchi watapitiwa na zoezi la anuani za Makazi na kupatiwa namba.
Mkuu huyo wa mkoa wa Dar es Salaam amesema, maamuzi hayo ni sehemu tu ya busara ya serikali na ameonya tabia ya wananchi kuvamia maeneo ya watu na taasisi.

Related

Tags: RC MAKALLA
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10
HABARI

KANISA LAPOROMOKA MEXICO NA KUUWA WATU 10

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
HABARI

TAKRIBAN WAHAMIAJI 10 WAMEFARIKI NA WENGINE 25 KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA LORI NCHINI MEXICO

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM
HABARI

AIRPORT YA ZANZIBAR IPO BUSY KULIKO YA DAR ES SALAAM

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI
BIASHARA

MIFUMO YA KIFEDHA KULINDWA ZAIDI

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA
HABARI

SIKU 7 ZATOLEWA MILANGO KUBADILISHWA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023
TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA
HABARI

TWENDE BUTIAMA YAANZA RASMI KUTOKA DAR MPAKA BUTIAMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 2, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In