ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, October 5, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

SAMAKI WAPIMWA UVIKO-19

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Aug 20, 2022
in HABARI
0
SAMAKI WAPIMWA UVIKO-19
0
SHARES
99
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Wiki chache zilizopita kamati ya wilaya ya Xiamen ya Jimei ya Udhibiti wa Magonjwa la Baharini ilitoa tanagazo likisema kwamba wavuvi wanaporudi kwenye bandari zao “wavuvi na samaki wao lazima wapimwe”.
–

 

Wilaya ya Jimei huko Xiamen ilitangaza majaribio hayo mwishoni mwa julai kwa sababu ya hofu kwamba biashara haramu na wavuvi wa kigeni inaweza kuingiza virusi kutoka nje, kulingana na ripoti za ndani utaratibu huo unahusisha kupima watu na vitu ambavyo wamekuwa wakishulika navyo, ikiwa ni pamoja na samaki waliovuliwa majini.

–

 

Matokeo yake ni kwamba katikati, video zimeonekana kwenye mitandao ya kijamii inayoonyesha samaki wakipimwa vipimo vya UVIKO-19, inaweza kuonekana kuwa isiyo ya kawaida lakini hii sio mara ya kwanza kwa samaki walio hai kupimwa UVIKO-19.

 

Mfanyikazi katika Ofisi ya Maendeleo ya Bahari ya Manispaa ya Xiamen aliliambia gazeti la South China Morning Post: “Tumejifunza kutoka sehemu ya Hainan, ambayo inashuhudia mlipuko mbaya UVIKO-19.

–
“Inasemekana kwamba inaweza kuchochewa na miamala ya bidhaa za baharini kati ya wavuvi wa ndani na wenzao wa ng’ambo.” Mfanyikazi katika Ofisi ya Maendeleo ya Bahari ya Manispaa ya Xiamen aliongezea
–

 

Zaidi ya watu milioni tano waagizwa kufanyiwa uchunguzi wa UVIKO-19 katika mji wa pwani wa China wa Xiamen wiki hii, baada ya kesi 40 za virusi hivyo kugunduliwa.

 

RelatedPosts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

Oct 4, 2023

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

Oct 4, 2023

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

Oct 4, 2023
Load More

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI
HABARI

SERIKALI KUTUMIA GESI ILI KUZALISHA UMEME NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA
HABARI

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA NCHI KAVU WA INDIA

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU
HABARI

WANAFUNZI 8,000 WA STASHAHADA KUPATA MKOPO WA ELIMU

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’
HABARI

‘KUWE NA MIKAKATI MADHUBUTI KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO’

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI
HABARI

TET YAWASILISHA RASIMU ZA MITAALA MIPYA KWA MAAFISA ELIMU NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023
BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI
BIASHARA

BEI Y MAFUTA YAPANDA TENA NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 4, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In