ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, November 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022

Barani Ulaya

MTEWELE ALFRED by MTEWELE ALFRED
Aug 18, 2022
in MICHEZO
0
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022
0
SHARES
136
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Manchester United wako tayari kulipa pauni milioni 67 kwa kiungo wa kati wa Real Madrid Casemiro, 30 na mara mbili ya mshahara wa Mbrazil huyo hadi £360,000 kwa wiki, baada ya mazungumzo na kiungo wa kati wa Juventus na Ufaransa Adrien Rabiot, 27, kuvunjika. . (Relevo – in Spanish)

Lakini sasa dili la Casemiro inasemekana kuwa haiwezekani kwa United, huku mchezaji huyo akisemekana hataki kuhama na Chelsea pia ikionyesha nia. (Talksport)

United pia wanafikiria kumsajili beki wa kulia wa Ubelgiji Thomas Meunier, 30, kutoka Borussia Dortmund kama watamuuza beki wa pembeni wa Uingereza Aaron Wan-Bissaka, 24, kurudi Crystal Palace kwa £10m.  (Telegraph – subscription required)

The Red Devils wanajipanga kumnunua mlinda lango wa kimataifa wa Uswizi wa Borussia Monchengladbach Yann Sommer, 33, ili kumpa changamoto David de Gea. (Blick, via Sun)

th

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Sporting Lisbon wameonyesha nia ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 amewaambia mara kwa mara Manchester United kwamba anataka kuondoka. (90min)

Willian anaweza kurejea Ligi ya Premia kwani ripoti zinaonyesha yuko tayari kuanza mazungumzo na Fulham, winga huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 34 hivi karibuni aliondoka Corinthians na anaweza kusajiliwa bila malipo.  (Mail)

Mshambulizi wa zamani wa Arsenal Pierre-Emerick Aubameyang angependelea kuondoka Barcelona na kwenda Chelsea kuliko Manchester United, kulingana na ripoti ambazo pia zinaonyesha kwamba Barcelona wanamthamini kwa pauni milioni 25, kiasi ambacho  Chelsea inasita kumlipa mchezaji huyo wa kimataifa wa Gabon, 33. (Telegraph, via Express)

Tottenham wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Ukraine Ruslan Malinovskyi kutoka Atalanta, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 atakuwa wa nane kusajiliwa na  Spurs katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi.  (TuttoAtalanta – In Italian)

Southampton na Newcastle zote zinataka kumsajili mshambuliaji wa Benfica Goncalo Ramos, 21, wa Ureno. (Telegraph – subscription required)

th

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Kiungo wa kati wa Liverpool na Guinea Naby Keita, 27, anaweza kuwa tayari kuondoka, huku klabu ya zamani ya RB Leipzig ikionyesha nia. (Sky Sports Germany)

Lakini inafahamika kuwa Liverpool hawana nia ya kumwachia Keita kabla ya mwisho wa dirisha hili la usajili na wanatumai kumfanya asaini kandarasi mpya, ingawa wanaweza kuhatarisha kumwacha huru msimu ujao. (Goal)

West Ham wameachana na nia yao ya kumnunua beki wa kushoto wa Chelsea Emerson, 28, kutokana na madai ya mshahara mkubwa wa Mbrazil huyo. (Guardian)

CHANZO: BBC SWAHILI

Related

Tags: BARANI ULAYA
ADVERTISEMENT
MTEWELE ALFRED

MTEWELE ALFRED

Related Posts

VODACOM YAENDESHA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA ‘SAMBAZA SHANGWE, GUSA MAISHA’ WASHINDI 26 WAIBUKA WASHINDI WA ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO MMOJA WA PESA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10!
HABARI

VODACOM YAENDESHA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA ‘SAMBAZA SHANGWE, GUSA MAISHA’ WASHINDI 26 WAIBUKA WASHINDI WA ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO MMOJA WA PESA TASLIMU SHILINGI MILIONI 10!

by I am Krantz
Nov 15, 2023
IDENTY – KAMERA YA SIMU KUTUMIKA KAMA KIFAA CHA UTAMBUZI NA UHAKIKI WA ALAMA ZA KIBIOMETRIKIA
HABARI

IDENTY – KAMERA YA SIMU KUTUMIKA KAMA KIFAA CHA UTAMBUZI NA UHAKIKI WA ALAMA ZA KIBIOMETRIKIA

by I am Krantz
Nov 9, 2023
RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS WA CAF IKULU YA DODOMA
HABARI

RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS WA CAF IKULU YA DODOMA

by SUZO SHUKRANI
Oct 20, 2023
‘KILA MPINZANI ANATAKIWA KUIHESHIMU SIMBA’ KOCHA ROBERTINHO
HABARI

‘KILA MPINZANI ANATAKIWA KUIHESHIMU SIMBA’ KOCHA ROBERTINHO

by SUZO SHUKRANI
Oct 19, 2023
NEYMAR KUFANYIWA UPASUAJI WA GOTI
HABARI

NEYMAR KUFANYIWA UPASUAJI WA GOTI

by SUZO SHUKRANI
Oct 19, 2023
WATU WAWILI WAFARIKI KWENYE MECHI YA UBELGIJI DHIDI YA SWIDEN
HABARI

WATU WAWILI WAFARIKI KWENYE MECHI YA UBELGIJI DHIDI YA SWIDEN

by SUZO SHUKRANI
Oct 17, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TWEETS

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In