ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, August 13, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO ALHAMISI AGOSTI 4, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Aug 4, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO ALHAMISI AGOSTI 4, 2022
0
SHARES
91
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

Aug 13, 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Aug 12, 2022

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

Aug 12, 2022
Load More

Frankie de jong
Frankie de jong

 

Chelsea wameanza mazungumzo na Barcelona kwa ajili ya kumnunua kiungo wa kati Mholanzi Frenkie de Jong, 25, ambaye amekuwa akihusishwa pakubwa na Manchester United msimu huu.  De Jong angependelea kuhamia Chelsea badala ya Manchester United.

–

Chelsea wako tayari kumpa beki Mfaransa Wesley Fofana pauni 200,000 kwa wiki kama wanaweza kufanya makubaliano na Leicester City, ambao wanataka pauni milioni 85 kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21.

Wesley Fofana
Wesley Fofana
 

Manchester United wamefanya mazungumzo ya mapema na RB Salzburg kuhusu kumsajili mshambuliaji wa Slovenia mwenye umri wa miaka 19 Benjamin Sesko. Chelsea pia imekuwa na mkutano na wakala wa Sesko.

–

Bournemouth wanakaribia kumsajili kipa wa Barcelona mwenye umri wa miaka 33 Neto kutoka Brazil.

Dean Henderson
Dean Henderson

Kipa wa England Dean Henderson, 25, hataichezea Manchester United tena baada ya kujiunga na Nottingham Forest kwa mkopo, kulingana na kiungo wa zamani wa Tottenham Jamie O’Hara.

–

Mlinzi wa Chelsea Mwingereza Levi Colwill, 19, anatazamiwa kujiunga na Brighton, huku mlinzi wa The Seagulls Mhispania Marc Cucurella, 24, akikaribia kuhamia Chelsea. The Blues watakuwa na kipengele cha kumnunua Colwill katika mkataba huo.

Ivan Perisic
Ivan Perisic

Tottenham wameanza mazungumzo na Udinese kuhusu beki wa kushoto wa Italia Destiny Udogie, 19, na uwezekano wa kumuuza kwa mkopo beki huyo katika klabu hiyo ya Serie A.

–

Winga wa Croatia Ivan Perisic, 33, aliwasiliana na nyota wa zamani wa Tottenham na mshirika mwenzake Luka Modric kwa ushauri kabla ya kuamua kuondoka Inter Milan kuelekea London kaskazini msimu huu.

–

Vilabu kadhaa vya Championship na League One vina nia ya kumchukua kwa mkopo kiungo wa kati wa Manchester United kutoka Wales Charlie Savage, 19.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene
BIASHARA

Mkazi wa Mufindi -Iringa akabidhiwa gari mpya Suzuki S Presso baada ya kuibuka mshindi promosheni ya Vodacom Tusua Mapene

by I am Krantz
Aug 13, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022
HABARI

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji
HABARI

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
HABARI

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

by ALFRED MTEWELE
Aug 12, 2022
Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.
BIASHARA

Benki ya NMB yang’ara maonyesho ya Nanenane Mkoani Mbeya.

by I am Krantz
Aug 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe
HABARI

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

by ALFRED MTEWELE
Aug 11, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul    
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In