ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI AGOSTI 20, 2022

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Aug 20, 2022
in HABARI
0
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI AGOSTI 20, 2022
0
SHARES
139
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

Jan 30, 2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

Jan 30, 2023

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

Jan 29, 2023
Load More

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 20.08.2022

th

Chelsea wametoa ofa ya pauni milioni 15 pamoja na beki wa Uhispania Marcos Alonso, 31, kwa mshambuliaji wa Barcelona mwenye umri wa miaka 33 kutoka Gabon Pierre-Emerick Aubameyang.

–

Mwenyekiti wa Borussia Dortmund Hans-Joachim Watzke amekanusha uvumi unaohusisha klabu hiyo ya Bundesliga na mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo, 37, anasema hakuna mawasiliano yoyote na nyota huyo wa Manchester United.

–

Beki wa Leicester Mfaransa Wesley Fofana, 21, ameomba kutohusika watakapokabiliana na Southampton wikendi hii baada ya kuhusishwa na Chelsea.

th

Manchester United wamefikia makubaliano na Real Madrid kumsajili kiungo wa kati wa Brazil Casemiro kwa dau la hadi £70m. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 amekuwa na Real tangu 2013, akishinda mataji matatu ya La Liga na matano ya Ligi ya Mabingwa.

–

Nice ya Ufaransa iko kwenye mazungumzo na Arsenal kuhusu kumnunua kwa mkopo mshambuliaji wa Ivory Coast Nicolas Pepe, 27.

–

Real Madrid wanafikiria kumnunua kiungo wa kati wa Tottenham Hotspur na Denmark Pierre-Emile Hojbjerg, 27, kuchukua nafasi ya Mbrazili anayeondoka Casemiro, 30, ambaye amekubali mkataba na Manchester United.

–

Newcastle na West Ham wanatazama matukio katika United kwa karibu, wote wanavutiwa na mchezaji wa kimataifa wa Scotland Scott McTominay, 25, kwa kuwa wanaamini kuwa ndiye kiungo anayewezekana kutengwa na ujio wa Casemiro.

th

Meneja wa Arsenal Mikel Arteta ana imani kuwa winga wa Uingereza Bukayo Saka, 20, atasaini mkataba mpya na klabu hiyo licha ya wapinzani, wakiwemo Manchester City, kuonyesha nia.

–

Everton wako tayari kumsajili Mohammed Kudus kwa mkopo kutoka Ajax kwa nia ya kufanya uhamisho wa kiungo huyo wa kati wa Ghana, 22, kuwa wa kudumu.

–

Leeds wanalenga kukamilisha dili la kumnunua Willy Gnonto, 18, wa FC Zurich, kwa £4m huku mshambuliaji huyo wa Kiitaliano akiingia mwaka wa mwisho wa kandarasi yake.

th

Ajax pia wanataka kumrejesha kiungo wa Morocco Hakim Ziyech, 29, kutoka Chelsea ikiwa Mbrazil Antony, 22, atajiunga na Manchester United. .

–

Antony alifanya mazoezi peke yake siku ya Ijumaa baada ya klabu hiyo ya Uholanzi kukataa ofa ya pauni milioni 67 kutoka kwa United.

–

Chelsea wameuliza kuhusu kupatikana kwa mlinzi wa Manchester United na England Harry Maguire, 29, kwa ajili ya makubaliano ya kubadilishana ambayo yatamfanya mshambuliaji wa Marekani Christian Pulisic, 23, kwenda upande wa pili.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’
HABARI

NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

by I am Krantz
Jan 30, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

by ALFRED MTEWELE
Jan 30, 2023
WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI
HABARI

WATU WENGI WALIJUA NITAVAA RANGI YA KINYOKA NYOKA – MANZOKI

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU
HABARI

SIMBA KUSHINDA UBINGWA MSIMU HUU

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI  MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA
HABARI

WANAFUNZI WALIOMDHALILISHA MTANDAONI MWANAFUNZI WA CHUO CHA CDTI WAKAMATWA

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023
MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE
HABARI

MTOTO WA SHILOLE APATA DIVISION 1 KIDATO CHA NNE

by Shabani Rapwi
Jan 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In