ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, June 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

USIVUMILIE KUPIGWA NA MWANAUME

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Aug 23, 2022
in HABARI
0
USIVUMILIE KUPIGWA NA MWANAUME

Violent young man threatening his girlfriend with his fist outdoors PIC: 123RF

0
SHARES
169
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023

Jun 2, 2023

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

Jun 2, 2023

SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF

Jun 1, 2023
Load More
ADVERTISEMENT

 

July mwaka 1991 huko Detroit nchini Marekani kulitokea tukio liloacha wengi vinywa wazi baada ya mwanaume mmoja aliefahamika kwa jina la Gregory green kumshambulia kwa visu mkewe Thonya green aliekuwa mjamzito paka kufa.
–
Tonya alimvumilia sana Gregory kwa tabia ya kumpiga mara kwa mara. Lakini uvumilivu wake ndio uliosababisha kifo chake. Akiwa mjamzito wa miezi sita walipishana maneno na mumewe.
–
Gregory alimkamata mkewe na kumpiga visu vya tumbo zaida ya vitatu bila kujali kuwa mkewe ni mjamzito. Kilichofata Tonya alifariki kwa kupoteza damu nyingi huku akikimbizwa hospital na majirani.
–
Mwanaume yoyote anaekupiga huyo hana mapenzi na wewe na ukifanya mchezo kuna siku atakuua. Mapenzi ni kuvumiliana na kuelekezana kwenye kasoro nasi kupigana. Usikubali kuishi na mwanaume anaekupiga.
–
Imeandikwa na Abdulrazaki issa.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 2, 2023

by ALFRED MTEWELE
Jun 2, 2023
Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-
HABARI

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2bn/-

by I am Krantz
Jun 2, 2023
SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF
HABARI

SERIKALI YAPOKEA BILIONI 15 KUTOKA UINGEREZA KWAAJILI YA MPANGO WA TASAF

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR
HABARI

RAIS DK. MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI ZANZIBAR

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME
HABARI

WANAWAKE WAONYWA UNYANYASAJI DHIDI YA WANAUME

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO
HABARI

JINSI YA KUSAJILI BIASHARA YAKO

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
August 2022
M T W T F S S
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
« Jul   Sep »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In